Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asante wakuu kwa updates...wengine saizi net inasuasua, hope soon itatengamaa...tupo pamoja wakuu wote wa gunners na wale wote watimu zingine....
 
Asante wakuu kwa updates...wengine saizi net inasuasua, hope soon itatengamaa...tupo pamoja wakuu wote wa gunners na wale wote watimu zingine....

Ba'Mkubwa ulipoteaa, uko salama? Eniwei, naona Arsenal inasua sua ila leo si haba, Man U hoi..lol:becky:
 
Ba'Mkubwa ulipoteaa, uko salama? Eniwei, naona Arsenal inasua sua ila leo si haba, Man U hoi..lol:becky:

...kimya kimya tu nashangilia hapa, shauri yenu Man U!
Hongereni washika bunduki wenzangu!
 
Baada ya mechi ya leo nadhani Positive ni:

  • 6 maximum point
  • CL Away win.
  • No nasty injury
  • Winning games even without our keys players: Vermaelean, Fabregas, Walcoltt and RVP ( oops I forgot Almunia and Diaby:confused2::confused2🙂
  • Fabianski had a good game which will boost his confidence.
Sasa negative:
  • Almunia na Diaby wanaweza kurudi mechi ya Chelsea:mad2:
  • Difensi bado tupo slow ku-react na zaidi Sagna, ingawa hata Gibbs na Djorou walikuwa na ganzi,
pengine tutakuwa na Vermaelean lakini huyu Sagna sijui kafikwa na nini? hata mechi ya W.Brom goli la mwanzo jamaa alimpita kiulaini mno.
  • Tatizo sugu lipo palepale, tunataka tap-tap hadi goli, hakuna anayethubutu kupiga mashuti hata kama
mchezaji anakuwa ndani ya box anatafuta mtu ili aendelee na tap-tap.
 
[QUOTE

  • Tatizo sugu lipo palepale, tunataka tap-tap hadi goli, hakuna anayethubutu kupiga mashuti hata kama
mchezaji anakuwa ndani ya box anatafuta mtu ili aendelee na tap-tap.[/QUOTE]


hii tabia inakera mno mkuu,sijui hawaendi kujiona baada mechi hili warekebishe makosa yao,manake hii ni too much sasa,kila siku makosa yale yale tu.
 

...mnh, kimya kingi kina mshindo, "mresti in peace" huko mlipo enyi mashabiki waanzilishi wa jukwaa hili!
 
...wenye wivu wajinyonge, mwanzo mpya...
tunataka makombe yetu yarudishwe kabatini!

Makombe yapi hayo? Watoto wamezaliwa, wameanza shule, Lé Arse bado wanakusanya vumbi kwenye makabati yao.
 
...mnh, kimya kingi kina mshindo, "mresti in peace" huko mlipo enyi mashabiki waanzilishi wa jukwaa hili!

Hahahaha! Wamekata tamaa, hawaoni makombe hapo Emirates, labda mrudi Highbury au Woolwich kabisa maana ninyi ni NOMADS
 
Historia haiongopi...


Kutesa kwa zamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…