Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wabobezi mnisaidie kuelewa. Budget ya Arsenal tuliambiwa ni €40m. Sasa wamesajili Saliba €27m, pepe kwa installment ya €20m kama kianzio, maltinell kwa €8m sasa tukipiga hesabu sitayari budget yetu imeisha? Sasa huu mwendelezo wa kusajiri utawezekana kweli, Au mimi kuna mambo nayaelewa tofauti?
Mpaka sasa ndio eneo linalohitaji quality, na Bodi imeliona hilo, tarajia Sajiri zote zinazokuja zitaegemea eneo hili
 
Talks with Tierney finally have reached a near conclusion. Deal should’ve been done last week but Pépé signing delayed. Tierney should be a Gunner. #AFC
 
Wabobezi mnisaidie kuelewa. Budget ya Arsenal tuliambiwa ni €40m. Sasa wamesajili Saliba €27m, pepe kwa installment ya €20m kama kianzio, maltinell kwa €8m sasa tukipiga hesabu sitayari budget yetu imeisha? Sasa huu mwendelezo wa kusajiri utawezekana kweli, Au mimi kuna mambo nayaelewa tofauti?
Mkuu uliamini kabisa Arsenal ina bajeti ya €40 tu kusajili? Hiyo ni fedha ndogo sana hata kwa club za championship.

Club kama Aston Villa imetumia €120m na imetoka Championship huko. Itakua club kubwa kama Arsenal. Changamoto ninayoiona kwa sasa wachezaji wamekua adimu sana kwenye soko, na waliopo bei imekuwa inflated sana.
 
Wabobezi mnisaidie kuelewa. Budget ya Arsenal tuliambiwa ni €40m. Sasa wamesajili Saliba €27m, pepe kwa installment ya €20m kama kianzio, maltinell kwa €8m sasa tukipiga hesabu sitayari budget yetu imeisha? Sasa huu mwendelezo wa kusajiri utawezekana kweli, Au mimi kuna mambo nayaelewa tofauti?
Hizo ni propaganda tu za viongozi wa Arsenal ,

Na hiyo bajeti kuwa 40-45 juzi wamekataa sio kweli japo bajeti ni LIMITED kwakuwa tunacheza Europa , na kwa mwaka tunalipa mishahara £240m na mapato yanaingia £500m ,

Ukweli ni huu ,kusema bajeti ni 40-45 waliovujisha ni hao hao viongoz wa Arsenal ,kwa malengo maalumu, ili watakapomuhitaji mchezaji , wasipigwe na waonewe huruma ,au wafanye biashara bila kulanguliwa,

Jiulize Dili la Pepe, Rais wa Lille alithibitisha kuna OFA za timu hizi MAN U, LIVERPOOL, ARSENAL ,NAPOLI, PSG na klabu mbili za Spain, zote anasema ziliweka mezani €80m

Inakuwaje mwisho wa Siku Mawakala wa pepe wanaonekana Italy kukamilisha dili LA pepe, halafu upepo unabadilika na Lille wanakubali kuchukua hela ya mafungu ya Arsenal na kuacha CASH za Napoli, PSG ,Na Man u,

Utagundua sio kweli Arsenal kalipa kwa installment ,ni Usanii ili kuingia kwa fitna kwenye soko ,

Hata Dili la SALIBA ni hivo hivo ,maana Tottenham alikuja na CASH €30m , jiulize inakuwaje Saint etiene waache CASH €30M wachukue €30m ya mafungu fungu ya Arsenal?


Kwahiyo Hizi ni fitna tu za usajiri
 
Huyu mchezaji sijawahi Kumuona
Alikuwepo enz za Wenger ,akapelekwa kwa mkopo toka akiwa mdogo huko championship, amefanya vzr ,halafu anacheza DM NA CB, karud sasa na anahitaji namba sio loan tena, sasa inaonesha emery hana mpango nae , hivo anauzwa
 
Mkuu uliamini kabisa Arsenal ina bajeti ya €40 tu kusajili? Hiyo ni fedha ndogo sana hata kwa club za championship.

Club kama Aston Villa imetumia €120m na imetoka Championship huko. Itakua club kubwa kama Arsenal. Changamoto ninayoiona kwa sasa wachezaji wamekua adimu sana kwenye soko, na waliopo bei imekuwa inflated sana.
Kwanza hakuna klabu inayotajaga bajeti yake ya usajir hadharan , huwa ni udaku tu
 
By Tuesday ni tarehe ngapi? Na usajiri unafungwa tarehe ngapi?

Kabla ya kukopi fikiri.
Kwan ambacho hujaelewa nini, mwandishi nimemkopi kama alivyosema ,wanaoelewa wanajua anamaanisha kutambulishwa ,na hilo gazet ni kutoka Uskoch kabisa, najua unadhan kwa kuwa dirisha linafungwa Tarehe 7 bas lazima uwe umemtambulisha na mchezaji, anachomaanisha mwandish kufikia jumanne atakuwa Mali ya arsenal it means KUTAMBULISHWA.

IMG_20190731_075018.jpeg
 
Nimekuelewa sana..ngoja tune kama Tierney tutamnasa ila kwangu nikiingia YouTube naona dogo ni moto
Hizo ni propaganda tu za viongozi wa Arsenal ,

Na hiyo bajeti kuwa 40-45 juzi wamekataa sio kweli japo bajeti ni LIMITED kwakuwa tunacheza Europa , na kwa mwaka tunalipa mishahara £240m na mapato yanaingia £500m ,

Ukweli ni huu ,kusema bajeti ni 40-45 waliovujisha ni hao hao viongoz wa Arsenal ,kwa malengo maalumu, ili watakapomuhitaji mchezaji , wasipigwe na waonewe huruma ,au wafanye biashara bila kulanguliwa,

Jiulize Dili la Pepe, Rais wa Lille alithibitisha kuna OFA za timu hizi MAN U, LIVERPOOL, ARSENAL ,NAPOLI, PSG na klabu mbili za Spain, zote anasema ziliweka mezani €80m

Inakuwaje mwisho wa Siku Mawakala wa pepe wanaonekana Italy kukamilisha dili LA pepe, halafu upepo unabadilika na Lille wanakubali kuchukua hela ya mafungu ya Arsenal na kuacha CASH za Napoli, PSG ,Na Man u,

Utagundua sio kweli Arsenal kalipa kwa installment ,ni Usanii ili kuingia kwa fitna kwenye soko ,

Hata Dili la SALIBA ni hivo hivo ,maana Tottenham alikuja na CASH €30m , jiulize inakuwaje Saint etiene waache CASH €30M wachukue €30m ya mafungu fungu ya Arsenal?


Kwahiyo Hizi ni fitna tu za usajiri
 
Any proof kutoka Arsenal website ya kuthibitisha Pepe amesaini juzi?
Nimesema kasajiriwa juz, kasain Jana ,kutambulishwa Leo,

Kwahiyo elewa ,KT anaweza kumalizana na arsenal siku ya mwisho ya usajir ila mpaka paperwork ,n.k had kutambulishwa inaweza kufika jumanne , Kwa mujibu wa huyo mwandish wa Scotland
 
Nimekuelewa sana..ngoja tune kama Tierney tutamnasa ila kwangu nikiingia YouTube naona dogo ni moto
Uzuri wa Kieran Tierney anacheza RB,LB na CB

Kule national team ,Andy rob anapiga LB ,yeye anacheza CB, Celtic anapiga LB
 
Sky Sports reporter Kaveh Solhekol claims both clubs are wrangling over just £2m before a deal will be agreed.

He told the Transfer Show: “I was speaking to someone who is involved in the negotiations and they were pulling their hair out.
 
From || Regarding Rugani and Arsenal's 2yr loan deal with obligation. Reports suggest Arsenal may have an easier time getting this done if they take Sami Khedira as well [Via Sports Witness].
 
Rennes have reignited their interest in wantaway Arsenal captain Laurent Koscielny, Sky Sports News understands.
 
Back
Top Bottom