Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,635
- 25,612
Nasikia kuna mpango wa kumuuza Auba ili ipatikane hela ya Zaha
![]()
Aubameyang is not for sale.
Nasikia kuna mpango wa kumuuza Auba ili ipatikane hela ya Zaha
![]()
Habari za uongo hizo, umezitoa wapi nduguHuu utani sijui unatoka wapi wa kutaka kumchukua Ndanda Kosovo (Bakayoko) toka Chelsea
Umesikia wapi, mbona auba yupo Arsenal na hauzwiNasikia kuna mpango wa kumuuza Auba ili ipatikane hela ya Zaha
![]()
Saliba to Arsenal done
Sasa tunaenda kwa Zaha na malcon mpaka kieleweke
Arsenal wameenda kwa gia ya mkopo , na option ya kumnunua baadae ,Barcelona wanataka 50M kwa Malcolm na Arsenal wamechomoa.
BREAKING
: GloboEsporte (Reliable when it comes to Brazilian news) have learned that Arsenal are moving to sign Malcom. In this case of the Gunners, this is a "request" from the coach Unai Emery. #afcAubameyang is not for sale.
Mbona za muda na zilishakufaTetesi
DAVID ORNSTEIN SPEAKS