Kuna rumours inasemekana Arsenal itapeleka ofa ya € 55ml plus 3 players ambao ni Mohamed Elnery ,Jenkinson na Mustafi hahahahahahahahaSio iwe hiyo mkuu, hiyo ni ofa ya kwanza, pia kuna uwezekano tukawaunganishia na mchezaji mmoja
We jamaa una shida gan?....Ww ndo msemaji wa palace?...naona unahangaika kisa usajili wa zaha mkuu..utulie tu ka wenzako huko...Crystal palace wanahitaji £80 ml kwa Zaha vinginevyo mtafute ustarabu mwingine tu
Kiongozi kosa langu ni nini sasa hapo hizi si RumoursWe jamaa una shida gan?....Ww ndo msemaji wa palace?...naona unahangaika kisa usajili wa zaha mkuu..utulie tu ka wenzako huko...
Hadi mikia sita kumbe nao wanakuja kutamba humu...Arsenal kama hamna hela ongeeni na Mo Dewji awadhamini,mana naona kila mwaka nyinyi mnasajili kwa bajeti kali
Kwan umeadhibiwa ndugu... Naona unapanga bei ya zaha...yawezekana una ubia fulani na palace...Kiongozi kosa langu ni nini sasa hapo hizi si Rumours
Huwa tunapitapita hii njia tunaona wakazi Wa maeneo haya muda karibia wote wanalalamika tuHadi mikia sita kumbe nao wanakuja kutamba humu...
Huko kwenu hawalalamiki...Huwa tunapitapita hii njia tunaona wakazi Wa maeneo haya muda karibia wote wanalalamika tu
Yapo ila malalamiko yametofautiana mana kule wanalalmikia watu, huku mnalalamikia helaHuko kwenu hawalalamiki...
Woodward hana weledi na mambo ya mpira anajua biashara zaidi ndio mana sisi tunataka Director Of Football hapo biashara itafanyika na mpira utafanyika. Ingekuwa ni hela asingenunua wachezaji wadogo kama Wan Bisaka kwa £50 mil au kupeleka ofa ya paundi mil 70 kwa mtu kama MaguireWe umejuaje ndo bajeti yenyewe?...kwan nyie kule hamumlalamiki Woodward hatoi pesa?? Jibu yote Tafadhali..
Hahahahahahahahah Hii ndio type ya wachezaji wa wenu sasa hahahahahahahahah
Toroera na Auba apo wanapoteza muda tu ..wameona bora waondokeeKweli kuna watu hawana huruma na timu za wenzao kwa Arsenal hii ilivyo wakianua Torreira na Aubameyang itabaki timu kweli Hahahahahahahahah Binadamu wabaya
Mkuu awa wana paund million 40 tu sasa wameamua kuiteketeza yote kwa Zaha lakin CP wanataka 100 hahaha wakitoa yote kwa Zaha mambo yatakuwa magumu..hahahaCrystal palace wanahitaji £80 ml kwa Zaha vinginevyo mtafute ustarabu mwingine tu
Ila wabongo tuna vituko sana,..hahahaah!Wenzetu wananunua bunduki sisi tuna nunua mapanga,alafu ndio tukapambane kuingia top 4 ,acheni masihala spurs pamoja na ubora wao wameshusha Dombele,sisi tunaungaunga .Yaani Arsenal sometimes inakushawishi ujipe likizo ya kuwa mshabiki wa Arsenal aghriiiiiiii.......