Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Zaha dream's to play Arsenal
Mimi ni mmoja wapo japo sisemi ni wa timu ndogo, nasema zaha anahitaji kuongezewa baadhi ya vitu, zaha ni msumbufu ila sio hatari kwenye lango pinzani!Emery na Mimi tunamuelewa sana Zaha,
Emery juzi kauambia uongozi anamuhitaji zaha,
Leo tumetuma 40 ,
Wanaosema zaha ni watimu ndogo sijawahi kuwaelewa
Tupo pamoja mkuu, hata mm naamini zaha anahitaji kurekebishwa padogoMimi ni mmoja wapo japo sisemi ni wa timu ndogo, nasema zaha anahitaji kuongezewa baadhi ya vitu, zaha ni msumbufu ila sio hatari kwenye lango pinzani!
Nadhani unai kuna jambo kaona, na mapungufu ya zaha yanarekebishika..
Kwa iwobi na carrasco bora zaha.
Ki2 kitamu sana hiki..Sisi kwa uzi mzuri tu huwa hatujambo.
Huo mstari wa mwisho konki...Mimi ni mmoja wapo japo sisemi ni wa timu ndogo, nasema zaha anahitaji kuongezewa baadhi ya vitu, zaha ni msumbufu ila sio hatari kwenye lango pinzani!
Nadhani unai kuna jambo kaona, na mapungufu ya zaha yanarekebishika..
Kwa iwobi na carrasco bora zaha.
TupooooChama langu kimya sana
Bissaka kacheza vizuri msimu mmoja kuondoka kwa £55 ml ......Zaha ana misimu kadhaa Palace na amecheza kwa kiwango cha juu aondoke kwa £ 40 ml ........NGOJA NISUBIRI MAAJABU.Hao man u wameshikishwa ni kawaida Yao,
Thaman ya zaha ni hiyo hadi 50, halafu zaha mwenyewe ndio anafosi kuja Arsenal manaa ndio klabu anadai anayoishabikia
Hiyo ni first bid , kwahiyo tunawasikiliza wanasemaje ,huku zaha ameshawaambia wamuache aondoke
Mkuu mbona unakomaa jamaa asije wakati ,zaha anafosi mwenyewe , na bei halis ya zaha ni 40-55,Bissaka kacheza vizuri msimu mmoja kuondoka kwa £55 ml ......Zaha ana misimu kadhaa Palace na amecheza kwa kiwango cha juu aondoke kwa £ 40 ml ........NGOJA NISUBIRI MAAJABU.
Nasubiri kumuona Zaha akisajiliwa kwa hiyo beiMkuu mbona unakomaa jamaa asije wakati ,zaha anafosi mwenyewe , na bei halis ya zaha ni 40-55,
Sio iwe hiyo mkuu, hiyo ni ofa ya kwanza, pia kuna uwezekano tukawaunganishia na mchezaji mmojaNasubiri kumuona Zaha akisajiliwa kwa hiyo bei
Tutawaongezea iwobi na kolasinacNasubiri kumuona Zaha akisajiliwa kwa hiyo bei
Zaha ni bonge la mchezaji, wacha wajidanganye eti mchezaji wa timu ndogo, yule akisajiliwa Arsenal atashine sana thn atakakua kipenzi cha mashabiki zaidi hata ya laca na Auba.Emery na Mimi tunamuelewa sana Zaha,
Emery juzi kauambia uongozi anamuhitaji zaha,
Leo tumetuma 40 ,
Wanaosema zaha ni watimu ndogo sijawahi kuwaelewa
Mkuu hiyo avatar nilitaka niiweke sema umeniwahi dah...Zaha ni bonge la mchezaji, wacha wajidanganye eti mchezaji wa timu ndogo, yule akisajiliwa Arsenal atashine sana thn atakakua kipenzi cha mashabiki zaidi hata ya laca na Auba.
Crystal palace wanahitaji £80 ml kwa Zaha vinginevyo mtafute ustarabu mwingine tuTutawaongezea iwobi na kolasinac