Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu nakumbuka kuna kipindi Mustafi akiwepo tulikuwa hatupotezi mechi. Alikua akipata injury paka nawaza nani ataziba pengo lake, aliwahi kucheza game kama 22 hivi unbeaten duuh,ila sasa hivi acha aende tu.
 
Mkuu nakumbuka kuna kipindi Mustafi akiwepo tulikuwa hatupotezi mechi. Alikua akipata injury paka nawaza nani ataziba pengo lake, aliwahi kucheza game kama 22 hivi unbeaten duuh,ila sasa hivi acha aende tu.
Ac Milan wanamuhitaji, aende hata kwa £15m
 
C
 
unazungumzia mchezaj alie perform kwnye football league uingereza ,bora ingekua championship..
 
Sipati picha watakavyokuwa wanashangilia kwa nguvu kuuubwa kuliko hata the gunners wenyewe
Acha wafu mzikane wenyewe,msimu ujao wewe na swaiba wako ManU,mtaendelea kubaki hukohuko futui hamchomoki ng'o!
 
Arsenal are going to prepare a bid for Zaha. This will be the first of many for Zaha. The question will be what will Crystal Palace accept.
 
Arsenal are going to prepare a bid for Zaha. This will be the first of many for Zaha. The question will be what will Crystal Palace accept.
Sidhani kama arsenal yetu itaweza pale kwa ubahili wa boss.
 
Ngoro Kante anaweza kuwa nje kwenye mechi ya final vs Arsenal!!!!
=_==_==_==_==_==_=
Pia kisiki Christian Bielik amerejea nyumbani tena baada ya kuwa Charlton kwa mkopo
Na kiwango chake kimepanda
Pia amesema amekuja Arsenal kugombania namba na akina Msitafi
=_==_==_==_==_==_==_
Reiss NELSON ameandika kwenye intagram yake Leo kuwaaga Mashabiki wa TSG Hoffenheim
 
As mentioned by @Kike_Marin_, Arsenal see teenage French centre-back William Saliba as a top target this summer - They’ve watched him several times this season, including last night.

Full story. https://t.co/R7IBYBN8AI
 
Takuma Asano will return to #AFC next season. @Hannover96 announced.

Klabu ya Hannover96 wametangaza kuwa mchezaji wa arsenal ambaye yupo kwa mkopo kwao Asano takuma atarudi arsenal

Wachezaji wengine ambao watarudi ni pamoja na Bielik na Nelson ambao tayari wameshathibitishwa
 
Palace wajinga ,waataka hela kubwa, halafu zaha mwenyewe anafos kusepa,,sasa arsenal wamesema watapeleka £30m-£40m
Basi,
Jamaa namuelewa sana akitua arsenal itakuwa good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…