Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hahaaa,Aaron usikimbie tunashinda leo
Ukishaona mfumo ni 3-4-1-2 au 3-4-3 hatokagi mtu,,
Hahaaa,Aaron usikimbie tunashinda leo
Uyo mjerumani nmemtoa ..wewe nitakufanya nini?Ni balaa mimi naona bora tukutane na Germany kuliko chelsea wanaotufahamu nnje ndani.
Kama uyo mjerumani nmemtoa wewe tia maji nitakufanya nini?Asee hawa wajerumani sio mchezo, kwa hii team yetu tia maji tia maji bora tukutane na the blues.
Mkuu ukishaona arsenal ameingia na mfumo wa beki 4 ,hiyo mech huwa ni ngumu,Siamini timu yangu Arsenal dah kumbe userious unawezekanika
Hivi unajua Chelsea ni mlaini sana fainal?Kama uyo mjerumani nmemtoa wewe tia maji nitakufanya nini?
Mjeruman amekusumbua sana had matuta , hebu shukuruUyo mjerumani nmemtoa ..wewe nitakufanya nini?
️ Aubameyang
️ Lacazette
️ Aubameyang
️ Aubameyang
️ Lacazette
️ Lacazette
️ Lacazette
Vikombe vya europe vyote vyaenda london!
Uyo kanisumbua mimi ..sasa kikosi chako kibovu ungechezea cha kutosha..Mjeruman amekusumbua sana had matuta , hebu shukuru
Dah yaan wewe unajiona una timu nzuri, tutaona hiyo fainal?Uyo kanisumbua mimi ..sasa kikosi chako kibovu ungechezea cha kutosha..
Mkuu unatamba lkn subir tutakachowafanya fainal , nadhan unakumbuka darajan tulikukosa sana, emirate ukafa mapema,Uyo kanisumbua mimi ..sasa kikosi chako kibovu ungechezea cha kutosha..
King of London is back ..Ombi langu moja tu! Nipigieni Chelsix
Ni aibu kwa kitimu cha juzi 2004 kama Chelsix kujiita King of London
Please muonesheni who the real king of London
Lile tambala lenu Leno lingeweza chomoa zile penalty kweli? Izo beki zenu za kuunga unga zitaweza mzuia Hazard, Higuan au Loftus? Ile gemu yenu ulinifunga kwa sababu hatukuwa vizuri tu lakini hii final tutafia uwanjani mzeeMkuu unatamba lkn subir tutakachowafanya fainal , nadhan unakumbuka darajan tulikukosa sana, emirate ukafa mapema,
Subir BAKU ,naiman vijana hawataniangusha na emery ameweka nguvu huku, tumepita kwenye timu ngumu toka 16 bora, wewe timu ngumu ni hao wajeruman ,,wamekusumbua kidogo utoke
Weakness yenu kubwa ni katikati,



Arsenal ukichezea goli chache sana zitakuwa ni tatu. Umemfunga mchovu Valencia unadhani na kwa Chelsea utapata mteremko tu hahaha naiona AssAnal kwenye Europa msimu ujao hahahaha.
Wewe jamaa unaongeaga pumbaLile tambala lenu Leno lingeweza chomoa zile penalty kweli? Izo beki zenu za kuunga unga zitaweza mzuia Hazard, Higuan au Loftus? Ile gemu yenu ulinifunga kwa sababu hatukuwa vizuri tu lakini hii final tutafia uwanjani mzeeArsenal ukichezea goli chache sana zitakuwa ni tatu. Umemfunga mchovu Valencia unadhani na kwa Chelsea utapata mteremko tu hahaha naiona AssAnal kwenye Europa msimu ujao hahahaha.
Proudly to be Chelsea Fan....KTBFTFH
Sasa wewe unaifananisha Chelsea na hii arsenal yako yenye pazia golini na beki za kuunga unga hahahaha apo arsenal mchezaj pekee labda kwa mbali wa kumuangalia ni Auba tu ..ao wengine sioni kabisa wa kutusumbua..Dah yaan wewe unajiona una timu nzuri, tutaona hiyo fainal?
Ilo pazia lenu lingeweza chomoa penalty mbili? Kubalini tu mna pazia golini na ilo ndilo litàkalo wagharimu...Wewe jamaa unaongeaga pumba
Ulidai Valencia atapindua matokeo
Ukadai Frankfurt mtampiga nyingi,
Huyo kepa kwa man city carabao alikuwa wapi kuchomoa penati?
Nitafukua makaburi yako, tarehe 29
Sisi hatuna maneno na emery
Huyo chelsea tumemgonga 2-0 kwenye ligi EPL, so hawezi furukuta kwa lolote kwanza katimu kadogo tuu kamemtoa maji hadi matuta; Chelsea labda zamani kwa sasa uchochoro tuu............Sasa wewe unaifananisha Chelsea na hii arsenal yako yenye pazia golini na beki za kuunga unga hahahaha apo arsenal mchezaj pekee labda kwa mbali wa kumuangalia ni Auba tu ..ao wengine sioni kabisa wa kutusumbua..
Wenger ndo kocha pekee angeweza kutusumbua kwenye final games sio uyu mnyaturu Emery..
Muache aropoke ,mzoee alikuwa anatembea na matokeo mfukon hata kwa Frankfurt kidogo Jana aaibike,Huyo chelsea tumemgonga 2-0 kwenye ligi EPL, so hawezi furukuta kwa lolote kwanza katimu kadogo tuu kamemtoa maji hadi matuta; Chelsea labda zamani kwa sasa uchochoro tuu............