ni vigumu sana kupata mteremko kama wa leo huko mbeleni,jamaa walituachia tucheze mpira wetu timu nyingine wanajua kwamba weakness yetu ni physical game.
Hiki kipindi cha kwanza, tumepelekeshwa kweli...sijui kipindi cha pili kitakuwaje----tunazihitaji hizi 3 points maana ni muhimu sana.....Go Gunners....
wakuu wote tupo pamoja, naona tunaongeza majeruhi, Chammakh nafasi nzuri ya kuweka bao la 2 lakini wapi? naona mechi leo kwetu ni ngumu. jamaa wanacheza nguvukazi na SAong ndio nje,
wakuu wote tupo pamoja, naona tunaongeza majeruhi, Chammakh nafasi nzuri ya kuweka bao la 2 lakini wapi? naona mechi leo kwetu ni ngumu. jamaa wanacheza nguvukazi na SAong ndio nje,