Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa Valencia walain sana,Tatizo Matteo hapress katikati kupeleka mipira,

Na wish aingie lt11, tutawalamba nyingi
 
Ila auba naye anazingua sana
Kazingua hii chance ya mwisho,

Hapo kati nataka aingie lt11,

Angekuwepo Ramsey, wangeoga nyingi, hawawez mpira mgumu kabisa

All in All,vijana wawe makin tuongeze magoli


Ni heri kukutana na Chelsea final, sio Frankfurt ,nawaangalia hapa wanapiga mpira mgumu na wakasi sana
 
Kweli kabisa mkuu inabidi tushinde hata nne jamaa washapata goli la ugenini yasije kutukuta ya juve
 
Bora fainal.tucheze na Chelsea ,sio hawa wajeruman, wana mpira kama WA Napoli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…