Kazingua hii chance ya mwisho,
Hapo kati nataka aingie lt11,
Angekuwepo Ramsey, wangeoga nyingi, hawawez mpira mgumu kabisa
All in All,vijana wawe makin tuongeze magoli
Ni heri kukutana na Chelsea final, sio Frankfurt ,nawaangalia hapa wanapiga mpira mgumu na wakasi sana