Mkuu emery ndio msimu wake wa kwanza, hebu muache kama madirisha matatu ajenge timu ,tutamjaji,
Klopp msimu wa kwanza hata top 4 alikuwa hagombei. ,mm kwangu unai ka jitahid sana, ila amekosa wachezaji wakumsaidia, ndio maana anahitaji madirisha karibu matatu, atengeneze jeshi lake litakalomtii