Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo tena amepangwa mkhitaryan. Kwa ukweli siku hizi nimekua simpendi. Ni bora tu namba yake apangwe lacazette
 
Leo tena amepangwa mkhitaryan. Kwa ukweli siku hizi nimekua simpendi. Ni bora tu namba yake apangwe lacazette
Laca ataingia kipind cha pili, lazima tufanye rotation maana Europa emery anaitaka kwa nguvu zote

Yohana 3:16
 
Laca ataingia kipind cha pili, lazima tufanye rotation maana Europa emery anaitaka kwa nguvu zote

Yohana 3:16
Game ya everton ilikua hivi hivi. Unapanga mchezaji ataingia kipindi cha pili halafu mara kocienly ambae hukutegemea atoke anaumia. Kwa iyo ile substition inapungua maana inabidi ufanye usiyoyatarajia
 
Game ya everton ilikua hivi hivi. Unapanga mchezaji ataingia kipindi cha pili halafu mara kocienly ambae hukutegemea atoke anaumia. Kwa iyo ile substition inapungua maana inabidi ufanye usiyoyatarajia
Game ya Everton shida ilikuwa midfield mkuu,

Now unamuona LT11 ,Ramsey, xhaka wamerejea

Yohana 3:16
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…