Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Habari njema kutoka Dubai kwenye kambi ya Arsenal ni kwamba Danny Welbeck amerudi kwenye mazoezi ya nje na kwa mara ya kwanza ameanza kucheza mpira tangu avunjike kifundo cha mguu miezi 4 iliyopita.

Kabla ya hapo na wenzake (Bellerin na Holding) walikua katika mazoezi mepesi ya ndani yaliyo jikita kwenye kuomarisha viungo zaidi ili kurudisha hali ya viungo kuweza kukabiliana na mikikimikiki ya mpira tena baada ya kutoka kwenye upasuaji.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Pierre-Emerick Emeliano Francois Aubameyang,kazaliwa 18 June 1989 kwa sasa ana miaka 29 ,Baba akiwa raia wa Gabon na Mama raia wa Hispania anayefahamika kwa jina la l Margarita Crespo Aubameyang.

Aubameyang anapokea kiasi cha £ 200,000 /= kwa week moja pekee, kwa mwezi anachukua kiasi cha £ 1,000,000/ hii ni sawa na Tsh 3,115,351,985.31.

Kijana huyu ana ugonjwa wa kupenda vitu vizuri ndio maana ana magari yote ya kifahari, Aubameyang anatembelea Ferrari Sports Car ya 2013 inayouzwa £ 1 Million ,yenye Power 950 BHP, Total Speed 227 MPH,uzito wa 1225KG .

Aubameyang anamiliki Ferrari ya 499 ,hii ndio idadi ya ferrari zote duniani,gari hizi zinatoka kwa nambari na hazitangazwi kwenye magazeti wala TV.

Aubameyang ,anajua kuwa na vitu vizuri ndio maana anamiliki mke mzuri anayeitwa Alysha Behague.

Duniani tunapita tu , mtu unatakiwa uishi unavyotaka wewe ndio maana Aubameyang ,anaishi maisha yake kwa furaha starehe na anasa sababu kila week anainginza £ 200,000/= .

Kwa lugha ya kifedha kama asemavyo George Soros katika kitabu chake cha ,The Alchemy of Finance ,"Scientific method seeks to understand things as they are ,while Alchemy seeks to bring about desired state of affairs, ".

Tutaendelea kumsoma Aubameyang......
FB_IMG_1552851885063.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Aaron Ramsey has returned to Arsenal as part of his recovery from a thigh injury
A bit more on this. I’m told Ramsey has tightness in his left thigh.

No sign yet as to whether he’s going to be available for Newcastle on April 1 but it’s not expected to be a lengthy absence.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Sasa kama uyo Auba anashindwa kuifunga Burundi timu ya mchangani na kuisaidia timu yake ya taifa Gabon kufuzu Afcon, ndo ataweza kweli kuifunga SSC NAPOLI?

Ngoja tuone ..sisi yeyote yule tunamngoja fainali tumnywe nyingi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii timu bado ina ushamba mwingi sana..
Kwenda tu Dubai ndo mnapangana kupiga mipicha utadhani Dubai iko mwezini..

Huu ushamba uezi kuta kwenye big clubs kama CHELSEA, man united, au Spurs ..inaonekana timu yenu haijazoea safari kama hizi.. Hii ndo shida ya kuwa na local players kama akina Auba, Lacca, dennis...apo international labda Ozil tu.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama uyo Auba anashindwa kuifunga Burundi timu ya mchangani na kuisaidia timu yake ya taifa Gabon kufuzu Afcon, ndo ataweza kweli kuifunga SSC NAPOLI?

Ngoja tuone ..sisi yeyote yule tunamngoja fainali tumnywe nyingi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Atawafunga nyie

Unambeza Auba mwenye magoli 22 na assist ,

Hapo Chelsea nan ana magoli kuzid Auba?

Auba kwanza hiyo timu wanamlazimishaga hanaga time nayo anacheza basi tu, yaan ajitume aumie Aache kuipigania Arsenal inayompa paun laki 2 kwa wiki ,na bonus ya paun elfu 50 kila arsenal inaposhinda ,ahangaike na Gabon ? Unamjua auba unamsikia?

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hii timu bado ina ushamba mwingi sana..
Kwenda tu Dubai ndo mnapangana kupiga mipicha utadhani Dubai iko mwezini..

Huu ushamba uezi kuta kwenye big clubs kama CHELSEA, man united, au Spurs ..inaonekana timu yenu haijazoea safari kama hizi.. Hii ndo shida ya kuwa na local players kama akina Auba, Lacca, dennis...apo international labda Ozil tu.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli kiazi kabisa,

Haya kapambane na Chelsea yako mbovu ,

Maana mshakuwa jamvi LA wageni

Nakuomba fainal nikuzabue goli 3

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
According to the Mail, #Arsenal are interested in Gremio's Argentine international centre-back Walter Kannemann. He has buyout clause of around £17m. Gurjit on Twitter

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
The Arsenal team went out and met some Sheikh’s in Dubai today.

Sheikh Hamdan Al Maktoum’s father reportedly has a net worth of £18 billion dollars. This means that they have enough money to end Kroenke’s time at Arsenal.

It’s unlikely that we can get these Sheikh’s to buy us because they’ve currently shown no interest, but there’s evidently a connection between them and Arsenal so there’s always a chance.

I’ve come to the realisation that it’s no use if we’re just trying to force Kroenke Out. He’s going to need someone there ready to buy us if he’s even going to consider selling. So, we need to push #HamdanIn as much as we do #KroenkeOut We need all fans to get involved. COYG! Comment your thoughts.
kroenke0ut-20190325-0001.jpeg
IMG-20190325-WA0004.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Wojo on welsh
thedailygooner-20190325-0001.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Yesterday #Arsenal has sent his scout in Italy to watch Nicolò #Barella in Italia-Finlandia. #Gunners are interested in him, but #Cagliari wants €50M at least. #transfers #AFC via

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
The Standard say #Arsenal are hopeful Aaron Ramsey will be fit for their match with Newcastle a week today after he withdrew from Wales duty due to a thigh injury.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
In the three seasons prior to his injury problems, Santi Cazorla managed 27 goals & 37 assists. Only 32 out of those were with his stronger foot. Yes, 50% were with his right, 48% with his left & 2% were headers. He takes the term both footed to the next level.

Tell me you know these

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Denis Suarez with another shot at the media, seemingly aimed at PL Today pundit Julien Laurens, who said he wasn’t impressing in training. #afc @denissuarezfernandez
afcupdates1-20190325-0001.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kesho mechi ya kirafiki dhid ya Alnasr

Itaoneshwa kupitia Arsenal app
IMG-20190325-WA0017.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Back
Top Bottom