mr94
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 286
- 309
Acha bangi kijana
Hii timu bado ina ushamba mwingi sana..Dubai, we're on our way!
Travelling in style with EmiratesView attachment 1050463View attachment 1050464View attachment 1050465
Sent using Jamii Forums mobile app
Atawafunga nyieSasa kama uyo Auba anashindwa kuifunga Burundi timu ya mchangani na kuisaidia timu yake ya taifa Gabon kufuzu Afcon, ndo ataweza kweli kuifunga SSC NAPOLI?
Ngoja tuone ..sisi yeyote yule tunamngoja fainali tumnywe nyingi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli kiazi kabisa,Hii timu bado ina ushamba mwingi sana..
Kwenda tu Dubai ndo mnapangana kupiga mipicha utadhani Dubai iko mwezini..
Huu ushamba uezi kuta kwenye big clubs kama CHELSEA, man united, au Spurs ..inaonekana timu yenu haijazoea safari kama hizi.. Hii ndo shida ya kuwa na local players kama akina Auba, Lacca, dennis...apo international labda Ozil tu.!
Sent using Jamii Forums mobile app
wolvers walikufanya nini mkuu?Game ya Everton, Watford(au droo), Wolves na Foxes mnafumuliwa
Mkuu.umepotea jamviniwolvers walikufanya nini mkuu?