Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Updates
IMG-20190213-WA0034.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Torreira: ‘Kila mtoto na mchezaji wa mpira ana ndoto za kucheza klabu kama hii. Nina furaha sana hapa London na nina matumaini Nita baki hapa kwa muda mrefu. Kabati langu lipo katikati ya kabati la Ozil na Lacazette, Ni watu na wachezaji wa zuri. Najivunia maisha haya katika umri wa miaka 23’.
IMG-20190211-WA0019.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWA NINI ARSENAL HAWAKUSAJILI JANUARY, WATASAJILI DIRISHA LIJALO? MWELEKEO WA TIMU NI UPI?

mashabiki wengi wa Arsenal hulalamika bila kutumia muda wao kufuatilia mambo yanayoendelea kwenye timu yao

Dirisha la January ...

Kuna sheria ya financial fair play ambayo ni ngumu kueleza lkn kwa ufupi inakutaka kutumia kulingana na mapato yako. Mfano huwezi kukopa kwenda kununua mchezaji. Sheria hiyo pia inasema matumizi ya mshahara yasipande kwa zaidi ya asilimia 7 kwa mwaka. Arsenal walikamatwa na kifungu hiki.

Wachezaji waliosajiliwa karibuni na mkataba mpya wa Ozil Unafanya kiwango cha mishahara Arsenal kufika kikomo. Ozil anapokea paundi 350000 kwa wiki, Auba 200, Miki 170, Laca 150, Sokraits 90. Kumbuka timu haiko Champions League msimu wa pili. Ndiyo maana waliwafuata Suarez, Perisic, Carrasco na Nkunku wachezaji ambao wangepatikana kwa mkopo ili signing fees zao zigeuzwe mshahara

Dili karibu zote zilishindikana kwa sababu vilabu viliwataka Arsenal waji commit kwamba watawanunua mwisho wa msimu. Arsenal walikataa kwa kuhisi wanaweza kuji commit alafu mchezaji asifikie viwango walivyotarajia.

Watanunua dirisha lijalo?

Mtu atajiuliza kama ni hivyo wataingia sokoni dirisha lijalo? Ndiyo kwa sababu 2, kwanza kuna wachezaji wataondoka na hivyo kupunguza mzigo wa mshahara. Chech paundi 100000, Ramsey 1000000, Mustafi 100000, Welbak 85, Jenkson 65 na kuna uwezekano mkubwa Ozil 350 na Nacho 100

Pili ni ufadhiri wa Adidas, Emirates na serikali ya Rwanda ambao mikataba yao inaanza July 1 mwaka huu. Hapa naomba ieleweke siyo kwamba Arsenal hawana fedha bali mapato haya mapya yanaruhusu kufanya matumizi makubwa na hasa kuongeza mishahara. Watu walio karibu na klabu wanasema watakuwa na karibia paundi mil 100 kabla ya mauzo. Ingawa itategemea pia kama watakuwa Champions League. Defender, Winger na beki tatu ni vipaumbele.


Na Aroon ze gunaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWA NINI ARSENAL HAWAKUSAJILI JANUARY, WATASAJILI DIRISHA LIJALO? MWELEKEO WA TIMU NI UPI?

mashabiki wengi wa Arsenal hulalamika bila kutumia muda wao kufuatilia mambo yanayoendelea kwenye timu yao

Dirisha la January ...

Kuna sheria ya financial fair play ambayo ni ngumu kueleza lkn kwa ufupi inakutaka kutumia kulingana na mapato yako. Mfano huwezi kukopa kwenda kununua mchezaji. Sheria hiyo pia inasema matumizi ya mshahara yasipande kwa zaidi ya asilimia 7 kwa mwaka. Arsenal walikamatwa na kifungu hiki.

Wachezaji waliosajiliwa karibuni na mkataba mpya wa Ozil Unafanya kiwango cha mishahara Arsenal kufika kikomo. Ozil anapokea paundi 350000 kwa wiki, Auba 200, Miki 170, Laca 150, Sokraits 90. Kumbuka timu haiko Champions League msimu wa pili. Ndiyo maana waliwafuata Suarez, Perisic, Carrasco na Nkunku wachezaji ambao wangepatikana kwa mkopo ili signing fees zao zigeuzwe mshahara

Dili karibu zote zilishindikana kwa sababu vilabu viliwataka Arsenal waji commit kwamba watawanunua mwisho wa msimu. Arsenal walikataa kwa kuhisi wanaweza kuji commit alafu mchezaji asifikie viwango walivyotarajia.

Watanunua dirisha lijalo?

Mtu atajiuliza kama ni hivyo wataingia sokoni dirisha lijalo? Ndiyo kwa sababu 2, kwanza kuna wachezaji wataondoka na hivyo kupunguza mzigo wa mshahara. Chech paundi 100000, Ramsey 1000000, Mustafi 100000, Welbak 85, Jenkson 65 na kuna uwezekano mkubwa Ozil 350 na Nacho 100

Pili ni ufadhiri wa Adidas, Emirates na serikali ya Rwanda ambao mikataba yao inaanza July 1 mwaka huu. Hapa naomba ieleweke siyo kwamba Arsenal hawana fedha bali mapato haya mapya yanaruhusu kufanya matumizi makubwa na hasa kuongeza mishahara. Watu walio karibu na klabu wanasema watakuwa na karibia paundi mil 100 kabla ya mauzo. Ingawa itategemea pia kama watakuwa Champions League. Defender, Winger na beki tatu ni vipaumbele.


Na Aroon ze gunaz

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazeni mchukue Europa, ni ya kwenu hiyo ukizingatia msimu huu timu sio ngumu sana, labda inter, Napoli na Chelsea ( ambaye ni kibonde chenu).
Kwanza mna attacking pair nzuri ya Auba na Laca, thenu depth nzuri ukiachana na majeruhi machache.
Pia hamko kwenye mashindano mengi ni EPL na Europa.


Sent using simu mbovu
 
Kazeni mchukue Europa, ni ya kwenu hiyo ukizingatia msimu huu timu sio ngumu sana, labda inter, Napoli na Chelsea ( ambaye ni kibonde chenu).
Kwanza mna attacking pair nzuri ya Auba na Laca, thenu depth nzuri ukiachana na majeruhi machache.
Pia hamko kwenye mashindano mengi ni EPL na Europa.


Sent using simu mbovu
Tukiingia 16 ndo tutajua timu zilizo salia ila kiukweli Europa iko wazi kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Torreira: ‘Kila mtoto na mchezaji wa mpira ana ndoto za kucheza klabu kama hii. Nina furaha sana hapa London na nina matumaini Nita baki hapa kwa muda mrefu. Kabati langu lipo katikati ya kabati la Ozil na Lacazette, Ni watu na wachezaji wa zuri. Najivunia maisha haya katika umri wa miaka 23’.View attachment 1021517

Sent using Jamii Forums mobile app



Uongo uongo

Mtu ambae lugha ya mama yake ni kihispaniola timu zake za ndoto ni Real Madrid na Barca
 
Oya Wanangu kwani mnakwama wapi? Mnafungwaje na BATA?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Game ni nzuri na wachezaji wamecheza vizuri shida kubwa ni upumbavu wa waamzi kugomea goli halali na maamzi yasiyo tija kwa timu.
Ni kweli lacazette kapewa red iliyo halali kwake kutokana na referee kushindwa kutimiza wajibu wake wa msingi huku akijua amegomea goli lake halali. Waamzi sampuli hii ni shida.
Ok,tusubiri second leg at home.
Tumepata clear penalty mchezaji wao akaanguka na kuushika mpira kabisa akapotezea kabisa, wachezaji walipata taabu sana kwa maamzi ya jana.
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game ni nzuri na wachezaji wamecheza vizuri shida kubwa ni upumbavu wa waamzi kugomea goli halali na maamzi yasiyo tija kwa timu.
Ni kweli lacazette kapewa red iliyo halali kwake kutokana na referee kushindwa kutimiza wajibu wake wa msingi huku akijua amegomea goli lake halali. Waamzi sampuli hii ni shida.
Ok,tusubiri second leg at home.

We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app

Haya tuma salamu kwa watu watatu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom