Arsenal (The Gunners) | Special Thread

😀😀😀
Mkuu habari za leo?
 
Yaani Arsenal hii style yetu yakuanza vizuri round ya kwanza na kumaliza vibaya round ya sijui tutaiacha lini. Arsenal kama kufufuka basi ni kuanzia, mwezi tatu mwishoni. Tatizo kronke ndio anayetufanya tunaishi kwa wasiwasi kama tunaoga nje, kila siku sisi tuna kazi ya kubinya korodani.
 
Kweli wameamua.
Nadhani hata mashabiki uwanjani watakuwa wamepungua kwa kiasi kikubwa sana, kwahio mapato ya uwanja yatapungua tu.
Kiukweli wamiliki wa hii clab ni mabahili sana.
Ubahili huleta umaskini.

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa.. Utazifinya kende mpaka zipasuke. Timu siyo kabila mkuu, karibu the blues furaha kila msimu. Huku utakufa kwa pressure mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa.. Utazifinya kende mpaka zipasuke. Timu siyo kabila mkuu, karibu the blues furaha kila msimu. Huku utakufa kwa pressure mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa possession, short on target sifuri. Piga ua galagaza msimu huu namaliza juu yako, we endelea kuhesabu pasi, wenzio wanahesabu magoli. Nakukumbusha weekend hii unaenda ETHAD.
 
Hahaa.. Umepanick sana. Sasa unamaliza juu ya nani.! Everton, Bournemouth au Wolves.? Kazakaza unaweza kufika playoff ya EUROPA
Wazee wa possession, short on target sifuri. Piga ua galagaza msimu huu namaliza juu yako, we endelea kuhesabu pasi, wenzio wanahesabu magoli. Nakukumbusha weekend hii unaenda ETHAD.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa.. Umepanick sana. Sasa unamaliza juu ya nani.! Everton, Bournemouth au Wolves.? Kazakaza unaweza kufika playoff ya EUROPA

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nipanic kwa timu mbovu kama chelsea, subiria kiama chako ETHAD na karibia mechi zako zote kubwa unachezea ugenini na, round ya pili nimekupiga Emirates , city atajigongea baada ya hapo unaenda OT kunyooshwa, Liverpool anamaliza kabisa Anifield . Timu huna ndugu yangu na ndio maana nina uhakika kumaliza jua yako.
 
Ndio timu sina kabisa. Ila siyo kinyonge kama unavyodhani. Round ya kwanza iliyoisha ni Tot pekee ndio kanipiga wengine wote walikua wanahaha. Sasa round ya pili ndio unataka kunitishia nyau? Nadhani Chelsea huifahamu vizuri, yan katika top 6 yote nipoteze mechi zote hizo. Hahaaaaa

Ngoja nikuoneshe nachoenda kufanya The Citizen Jpil pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mwenyewe na beki yangu ya kuunga unga ninekupiga mbili bila, sasa hao City wanaopigania ubingwa si watakudhalilisha. Msimu huu ndugu timu huna labda msimu ujayo.
 
Mkuu mimi nimeshakubali timu sina. Ila siyo kinyonge kama unavyo dhani. Naenda kwa Man City kutafuta draw tu. Then namsubiri Tot nyumbani nimbutue kama tatu za maana.
Mimi mwenyewe na beki yangu ya kuunga unga ninekupiga mbili bila, sasa hao City wanaopigania ubingwa si watakudhalilisha. Msimu huu ndugu timu huna labda msimu ujayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamalize noma na bono huko kwanza then ndio uje kuleta hizi shombo zako hapa maana ukipigwa mimi nakuja kuweka kambi pale kama kawaida
Hahaha sio shombo bana ni leo tu katika kumbukumbu. Kesho karibu sana mkuu uje ushuhudie mambo
 
Hahaa.. Umepanick sana. Sasa unamaliza juu ya nani.! Everton, Bournemouth au Wolves.? Kazakaza unaweza kufika playoff ya EUROPA

Sent using Jamii Forums mobile app
timu za uingereza zikiwa zinakutana na chelsea zinaimbaga wimbo wa mafongo zamu ya nani leoooooooooo.............wewe juzi ulikuja geto ukapigwa viwili leo unapita kunitukana dahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh kweli ............ hana shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…