Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahaha icho kipigo cha mbwa koko mulichopewa na hawa Man United tena kwenye Jiji la wajanja London na kubaki kuliaibisha jiji, sisi kaka zenu tutawafutia iyo aibu. Hawa nyumbu watarudi tena London lakin safari hii watakuwa pale Darajani..

Hivyo tutafuta Ainu yenu yote na kufanya muwe vizuri, maana ninyi ni sehemu ya familia ya Chelsea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida tu, kwenye ligi tutawapania

Ww utampiga ,maana hana mpira zaid anavizia,

Ww komaa na manyumbu, ila ukikutana popote na mm, lazima na ww nikunyooshe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barca wanaelekea kibra

#AFC | The latest from Spain is that Dennis Suarez will sign a 1year contract extension with Barcelona and join Arsenal on loan for the rest of the season. This will include an option to buy in the summer.
IMG-20190129-WA0012.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba mpya kwanza........

Baada ya kusaini mkataba mpya ndani ya Camp Nou mpaka mwaka 2021, kiungo wa Barca Dennis Suarez sasa atajiunga na Arsenal kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu huku Gunners wakiwa na kipengele cha kumnunua majira ya kiangazi kwa dau la Euro Mil. 20.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hearing that Ivan Perisic has been training on his own as of recent times. Seems similar to the Aubameyang situation when he was at Dortmund, trying to force a move to AFC.




Kma tutakamilisha na usajir wa Perisic basi summer tutakuwa na kazi moja tu ya kusajuliwa mabeki tu
IMG-20190129-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raul Sanllehi deserves a lot of credit for the Denis Suarez deal. He used his infamous media tricks, held firm and got him on loan with the option to buy. Great addition, and if it works out, he’s an affordable summer signing; if not, a failed audition that serves a purpose. #afc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom