Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mm sina hofu, wewe utashushwa mtaa wa 7 kwa spid , bado huna ubavu wa kupambania top 4Ombea wolves apate majeruhi wiki ijayo unaanza kukonda tena una city
Kama Utakumbuka kikosi cha Jana ndicho kilienda 22 games unbeaten.. Kasoro tu holding, na Ramsey ,kos6 . Hicho ndicho kikosi cha maana.Sana sana, tena TH alimtaka Monaco, Skipper akadai atabaki na kupigania namba yake, ila jana kila mchezaji alikuwa in top form, hata Auba (siku ilikuwa si yake ila alitakiwa kupata kagoli at at least)...
Swala watacheza hivyo hivyo mechi zijazo au watarudia maudhi yao ya nyuma?!
Hahahaha arsenal????? Tabu ipo pale pale siku man u wakiamuaga kumfunga arsenal awe kwake au wapi kichapo tu hata acheze pad macnair kama bekMm sina hofu, wewe utashushwa mtaa wa 7 kwa spid , bado huna ubavu wa kupambania top 4
Unadhan hautadakwa hapo mbele? Ijumaa nakuvuruga
Then unaratiba tight hapo mbele,psg anaenda kukunyoosha , ukirud epl unapelekwa mtaa wa 7
Sent using Jamii Forums mobile app
Ijumaa unakuja getoHahahaha arsenal????? Tabu ipo pale pale siku man u wakiamuaga kumfunga arsenal awe kwake au wapi kichapo tu hata acheze pad macnair kama bek
Mi katika timu ambazo huwa sizifikirii ni hii timu yako ikitokea kashinda ni bahat tu ila tukiamua kufanya yetu ww huna cha kufanya
Game ya kufungwa tunasema, mfano huyu manyumbu ijumaa ,anakufa , maana anapanda ovyo, na anashambulika sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuangalieni na historiaWewe huwa uko unrealistic unapoizungumzia Arsenal.
Mdomoni kila timu unaifunga. Ila ikija uhalisia unajikuta unakula za uso mbele ya timu mbovu mbovu.
FA CUPIjumaa si mbali, tutashuhudia.
Kwani hio ijumaa ni ya ligi.? fuatilia mechi za fa tunavyokubutuagaMi katika timu ambazo huwa sizifikirii ni hii timu yako ikitokea kashinda ni bahat tu ila tukiamua kufanya yetu ww huna cha kufanya
Mourinho aliwaambia nawaonea huruma sana toka mmehama highbury hamjawahi kushinda kumfunga mech za ligi ila kwa sasa ntawafurahisha kweli mlishinda akawaambia next season siwap nafas tukabutua nje ndani so hata mimi nasema kama sosha akiamua kuwafurahisha ila vinginevyo mtarudi kwenye hali yenu
Ile fowardline ya spurs haikupata hata goli nakufunguka kwetu ndo itakuwa timu legelege hii nakwambia labda sosha awafurahisheSikweli, game ya jana hata chiz alikuwa anajua chelsea anakufa
Toka mazoezin vijana walihitaj kushinda, ndio
Maana nakwambia dk 20 za mwanzo kairudie utaelewa kwann jana arsenal alikuwa lazima ashinde
Game ya kufungwa tunasema, mfano huyu manyumbu ijumaa ,anakufa , maana anapanda ovyo, na anashambulika sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mech moja tu ya van gaal lini tena?Kwani hio ijumaa ni ya ligi.? fuatilia mechi za fa tunavyokubutuaga
FA CUP
TENA EMIRATES
MANYUA namnywa supu, amin ninachokwambia ,linapokuja swala la FA huwa sina utani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ndo kombe linapatikana london derby?Tuangalieni na historia
Katika michezo 12 ya london derby ambayo arsenal alicheza emirates hajapoteza mchezo hata mmoja
Na jana ilikuwa derby ya 13 emirates bila kupoteza
Tushangilieni ushindi na historia inazidi kuandikwa
Unai amefanya kama muendelezo wa ushindi
COYG
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi ameacha kuzurula na kapicha ka torreira vichapo noma sanaNdo maana nasema you are too unrealistic.
Zaidi nitasubiri tu upigwe, sijui utakimbia tena au utatupa sababu yote ni wewe tu.
Sio moja tuu fuatilia fa mpaka kombe nmesha chukua kwakoMech moja tu ya van gaal lini tena?
Pale London sisi ndio wababe..Kwa hiyo ndo kombe linapatikana london derby?
Nikimbie wapi, mm nakupa uchambuz husika, hutak unataka nikwambie nafungwa, hiv game ya jana kwel chelsea wakumfunga arsenal? Game ya kwanza darajan aliponea chupuchupu, tulimkosa gol 3 clear,Ndo maana nasema you are too unrealistic.
Zaidi nitasubiri tu upigwe, sijui utakimbia tena au utatupa sababu yote ni wewe tu.
Man u mwenyewe kachukua kombe kwa arsenal ryan giggs katembea na timu nzima ya arsenal tena ile ya watu wa shokaSio moja tuu fuatilia fa mpaka kombe nmesha chukua kwako
Mzee hamna hata uefa wala europa mnakuwaje wababe mbele ya chelsea?Pale London sisi ndio wababe..
Siku hizi ameacha kuzurula na kapicha ka torreira vichapo noma sana