Kule viungo wapo kibao yule ni mbadala wa matic na herrera ulitaka wacheze 12 ndani?Ww unataka ashain game zote, ? Vip fred wa paun 52 anakaa bench, mliuziwa mbuz kwa gunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahah et bek ya jana sema chelsea ya sarri hamna kitu umenyonyolewa mech kibao na vitotoGame ya liverpool sisi tulikuwa wazi nyuma mapazia tu ndiyo maana mlijipitia, tuliweza kuanza kufunga lakini zikarudishwa .Imagine liverpool mngekutana na beki ya jana mngepitia wapi.
Chelsea ni timu bora na haijafungwa kizembe kama unavyodhani kwa game ya jana yeyote angefungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kila siku ale mkeka, sema yule mliingizwa cha kikeKule viungo wapo kibao yule nu mbadaka wa matic na herrera ulitaka wacheze 12 ndani?
Ww ambaye hujanyonyolewa unaongoza ligHahahahahah et bek ya jana sema chelsea ya sarri hamna kitu umenyonyolewa mech kibao na vitoto
Coutinho zimetolewa pesa ngapi? Keita zimetolewa pesa ngni kuna wachezaj wanafanyiwa rotation ila angekuja arsenal timu mbovu anaanza
Nimekamatana na unbiten run 22 mech mpira raha sana
Game za kushinda mbona zinaonekana, hiyo game ilishaonekana chelsea anakufa , dk 20 za kwanza tumempress ilitakiwa ale 3 za harakaKwa kazi mliyofanya leo nawapa hongera sana.
Niliwadharau kiasi kuona hamtachomoka hii game.
Hata man u angefungwa chelsea ya sasa hamna kitu kuanzia 8 had 11 ukiacha hazard hamna tena watuGame za kushinda mbona zinaonekana, hiyo game ilishaonekana chelsea anakufa , dk 20 za kwanza tumempress ilitakiwa ale 3 za haraka
Bas tu alikaza
Hiyo game ilichagizwa na man u kushinda mchana ,ikatupa nafas ya kuhitaj matokeo kwa nguvu zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafulia sanaNasikia amepata timu ya taifa kama mshauri wa michezo nchi fulani za kiarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utakutana nao, usiseme hivo, muheshimu chelsea usimchukulie poa kisa nimemfunga,Hata man u angefungwa chelsea ya sasa hamna kitu kuanzia 8 had 11 ukiacha hazard hamna tena watu
Game za kushinda mbona zinaonekana, hiyo game ilishaonekana chelsea anakufa , dk 20 za kwanza tumempress ilitakiwa ale 3 za haraka
Bas tu alikaza
Hiyo game ilichagizwa na man u kushinda mchana ,ikatupa nafas ya kuhitaj matokeo kwa nguvu zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Manyumbu mnaongea sana, ila soon mtaufyata mkiaNimekamatana na unbiten run 22 mech mpira raha sana
Chelsea kwake katokea dakika ya 96 na sekunde kazaa huko hamna kitu muleMkuu utakutana nao, usiseme hivo, muheshimu chelsea usimchukulie poa kisa nimemfunga,
Dk 20 za kwanza nilikuwa namkabia juu, nampress, mpaka nilipopata matokeo ndio nikamuacha acheze,
Hajafungwa kibahat, kila game na approach yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwa arsenal
Mwisho wa ligi unakuwa wa 7 arsenal umeshika nafas ya wolves chelsea wa 6 man u wa 3 spurs wa 4
Sikweli, game ya jana hata chiz alikuwa anajua chelsea anakufaWewe huwa uko unrealistic unapoizungumzia Arsenal.
Mdomoni kila timu unaifunga. Ila ikija uhalisia unajikuta unakula za uso mbele ya timu mbovu mbovu.
Ngoja tusubir tuoneMwisho wa ligi unakuwa wa 7 arsenal umeshika nafas ya wolves chelsea wa 6 man u wa 3 spurs wa 4
Hahahahahaha kweli leo nimekija kuitani zaidi ndo mpira huu
Sana sana, tena TH alimtaka Monaco, Skipper akadai atabaki na kupigania namba yake, ila jana kila mchezaji alikuwa in top form, hata Auba (siku ilikuwa si yake ila alitakiwa kupata kagoli at at least)...Yani Jana captain alikipiga sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ombea wolves apate majeruhi wiki ijayo unaanza kukonda tena una city