Wengi wetu huwa tunashangazwa na sana na maoni ya hao pundits au hata magazeti kwenye michezo, yawezekana waandishi wengi ni either Manure, Chelski, Spuds au ni London rivals tu, inasikitisha sana...Majority of English pundits NEVER give credits to Arsenal, sijui wengi wao Arsenal imewakosea nini? Kuna uwezekano Arsenal iliwachukulia wake zao.
Yaani wengi wao jana wanadai chelsea underperformed ndio maana kafungwa na sio juhudi za Arsenal.
Wakati nyie mnahangaika na kocha wa nne kurudisha timu angalau top 4, arsenal ni kocha 1 tu tena msimu wa kwanza baada ya wenger kuondoka tayari anapambana top 4, huoni utofauti hapo?Hamjui ni kiasi gani tulikuwa tunataka nishinde ili gap la point baina yetu na Chelsea lipungue. Ninyi hamtusumbui hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu muache apige kelele ,ujue epl ina tabia moja , na ukiijua bas hauna wasiwasi, huyu manyua ana game kama mbili hiv, ataanza kuchezea vipigo, then ataarud mtaa wa 7 kwa kasi ya SGR, amin ninachokwambia, hiki kipind cha mpito ktk epl huwa tunakipitia kila timu,
Ukiwa unakivuka vzr bas unakuwa na sifa ya ubingwa, ndio kinachomtokea liver ,angalia game na brighton, na c palace ,anazivuka kiwiziwiz tu,
Soon ,man u atakutana na arsenal FA CUP, chelsea ,man city, psg home and away, akili itamkaa sawa,
Atarud mtaa wa 6 kwa gape la point 6,
Hizi kelele zitaisha, maana timu yao inapata matokeo lkn bado inaudhaifu, inashambulika kirahisi sana, na lile zali alilopata kwa tot ,hatalipata kila siku
Kwasasa tot hana kane na son, huu ndio muda wa kumleta huku chini, tupitilize kule juu
This is EPL ,ubingwa tumuachie city na liver
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachopredict magazeti yaandikwaje ni aina ya waandishi na ushabiki wao ktk timu wanazoshabikia.Wengi wetu huwa tunashangazwa na sana na maoni ya hao pundits au hata magazeti kwenye michezo, yawezekana waandishi wengi ni either Manure, Chelski, Spuds au ni London rivals tu, inasikitisha sana...
Kama kwa sasa wanavyoandika kwa masikitiko kuhusu Harry Kane utafikiri kuna kifo?! Kumbe ni kuumia kwa muda na siyo kwamba hawana strikers wengine!
Ameishi vizuri na ameondoka vizuri siyo kama Fabregas hata alipoomba kurudi wenger alimgomea.Giroud the king
Alivyoanza kupasha tu mashabiki wakaanza kumshangilia wa arsenalkuondoka vizuri na ukiwa umefanya mazuri ukirudi nyumban unaheshimiwa sanaView attachment 999846
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi amepangiwa wapi hukoAmeishi vizuri na ameondoka vizuri siyo kama Fabregas hata alipoomba kurudi wenger alimgomea.
Sent using Jamii Forums mobile app
We utakuwa unakutana na sunderland?Huyu muache apige kelele ,ujue epl ina tabia moja , na ukiijua bas hauna wasiwasi, huyu manyua ana game kama mbili hiv, ataanza kuchezea vipigo, then ataarud mtaa wa 7 kwa kasi ya SGR, amin ninachokwambia, hiki kipind cha mpito ktk epl huwa tunakipitia kila timu,
Ukiwa unakivuka vzr bas unakuwa na sifa ya ubingwa, ndio kinachomtokea liver ,angalia game na brighton, na c palace ,anazivuka kiwiziwiz tu,
Soon ,man u atakutana na arsenal FA CUP, chelsea ,man city, psg home and away, akili itamkaa sawa,
Atarud mtaa wa 6 kwa gape la point 6,
Hizi kelele zitaisha, maana timu yao inapata matokeo lkn bado inaudhaifu, inashambulika kirahisi sana, na lile zali alilopata kwa tot ,hatalipata kila siku
Kwasasa tot hana kane na son, huu ndio muda wa kumleta huku chini, tupitilize kule juu
This is EPL ,ubingwa tumuachie city na liver
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya liverpool hakucheza?Lucas Torreira (9 tackles) & Matteo Guendouzi (5 tackles) combined made more tackles than the entire Chelsea team (13 tackles) tonight. [
@EPL StatsView attachment 999910
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi torreira?
Nasikia amepata timu ya taifa kama mshauri wa michezo nchi fulani za kiarabu.
Ww unataka ashain game zote, ? Vip fred wa paun 52 anakaa bench, mliuziwa mbuz kwa guniaMi torreira?
Game ya liverpool sisi tulikuwa wazi nyuma mapazia tu ndiyo maana mlijipitia, tuliweza kuanza kufunga lakini zikarudishwa .Imagine liverpool mngekutana na beki ya jana mngepitia wapi.Mechi ya liverpool hakucheza?