True mkuu nikongea kiukweli pale mbele hawana watu wa kupindua meza kama upangaji ndio huu, Yaani nikicheki hawa jamaa inatakiwa wapange watu wote wanne yaani Ramsey piga ua inabidi awe anaanza Left wing, Auba Right wing , Tisa Lacazette halafu namba 10 nyuma ya striker Ozil hakwepeki
Halafu beki inatakiwa wasajili tu Backup ya Bellerin hamna na anahitajika partner wa kucheza na Rob Holding hao wagiriki wawili naona kama majanga tu
Kwa mambo kama haya ndio ujue kwamba hakuna ambae yupo salama hasa upepo mbaya ukikupitia. angalizo kwa wadau wa LFC hifadhini shampeni zenu mbali mambo bado sana.