Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ona sasa unaongea pumba

SOTONI KAKUGONGA UJE UDINDE KWANGU NTAJIUAA AISE

MSIMU WENU WA KUJIUA UMEFIKA

Ww una kiungo cha kucheza na zuwena zubeda ...


Njoo na fabinho wako uone moto, siku ile emirates mliomba poo

Tarehe 29 ni kipigo tu
 
Ww una kiungo cha kucheza na zuwena zubeda ...


Njoo na fabinho wako uone moto, siku ile emirates mliomba poo

Tarehe 29 ni kipigo tu

Kivipi tuliomba poo wakati wee tulikuzidi kila kitu kasoro useless possesion tuu


Last time Anfield ulikaa nne bila hali ya kua Ginni akiwafanya Xhaka na Ramsey kama ma toy

This time utarudi London unchenjegua,Na kuhusu Top Four usahau kabiiisaa Chelsea na Spurs ndio anatukamilishia Top Four yetu


MIND THE GAP
 
Kivipi tuliomba poo wakati wee tulikuzidi kila kitu kasoro useless possesion tuu


Last time Anfield ulikaa nne bila hali ya kua Ginni akiwafanya Xhaka na Ramsey kama ma toy

This time utarudi London unchenjegua,Na kuhusu Top Four usahau kabiiisaa Chelsea na Spurs ndio anatukamilishia Top Four yetu


MIND THE GAP
Eti ulizid kila kitu

Mara ulizidiwa possesion

Hebu eleweka

Kiungo mlikamatwa,


Naomba muweken fabinho tena

Kama hazijarudi zile 6 za 2007 EFL cup
 
Ww hata usipifungwa

Epl hubebi,

Labda kama umeanza kuijua Liver leo
Jitekenye tu

29december z coming soon

Ushapigwa sana liverpool hatutotumia nguvu nying kwa sasa ile siku ulipangiwa wrong line up watu waka play role sio zao sasa unajiona tyr ushakomaa unaweza tufunga

Njoon anfield mtajua ukwel
 
2007 mbali sana
Uliwekwa 5 mwaka 2014 anfield
Ukawekwa 4 2016 Emirates
Ukawekwa 4 kavu 2017 Anfield

Trh 29 sijui utawekwa ngapi
4-1

Ozil anakuweka la faulo ilikuwa lini

2-1 podolsi anakutia zote tunaenda kubeba FA Cup ,wewe unaliza ligi na ZERO trophies ilikuwa lini nikumbushe

Achana na zile 6 pale anfiled mwaka 2007
 
Jitekenye tu

29december z coming soon

Ushapigwa sana liverpool hatutotumia nguvu nying kwa sasa ile siku ulipangiwa wrong line up watu waka play role sio zao sasa unajiona tyr ushakomaa unaweza tufunga

Njoon anfield mtajua ukwel
Et ulipanga kikos kibovu

Panga hicho kizuri weka huyo fabinho bakayoko tena uone
 
Glenn Murray jamani kesho anawatoboa jiandaeni kisaikolojia
Endelea kupiga ramli

Ila tambua EPL utalisikia redion ,mwaka hui mnaenda kapa tena

Labda kama huijui liver

Tushashuhudia imebakiza mech 2 ikalikosa

Tushashuhudia arsenal anatoka nafas ya 4 anaenda kumtoa liver kileleni na kutwaa ubingwa 2001/2002

Ije leo hata raund ya kwanza haijaisha ,mshaanza kujitangaza mabingwa wa epl
 
Aliahidi na akatekeleza

Salah kesho jifanye unafunga tena ,
we.talk.arsenal-20181225-0001.jpeg
 
Back
Top Bottom