Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kuna mtu alikuwa anapiga kelele humu, vardy alipopiga goli akapotea gaflamajamaa yote yamepoteza game za home leo dah EPL kichefuchefu sana
Vardy kashawawekaEither Burnley or Draw..
Come on Burnley..
Unachungulia tuHahaha Arsenal bado hamjafikia hatua ya kuwa dharau kiasi hichi.
Kwani nyie mnategemea kombe gani msimu hu?
Auba analipwa ile ni kazi yake na sio tumshukuruBurnley ni team mbovu na dhaifu sana, Arsenal bahati yenu mshukurun Auba la sihvyo ushindi mngeusikia kwenye bomba.
Kwan auba mchezaji wenu ? Tushukuru nn ,kwan ushindi tumepewa bure ?Burnley ni team mbovu na dhaifu sana, Arsenal bahati yenu mshukurun Auba la sihvyo ushindi mngeusikia kwenye bomba.
Tumshukuru Auba kwani ni mchezaji wa timu gani?Burnley ni team mbovu na dhaifu sana, Arsenal bahati yenu mshukurun Auba la sihvyo ushindi mngeusikia kwenye bomba.
Hapo sasa wengine wanaongeaga uharo tuKwan auba mchezaji wenu ? Tushukuru nn ,kwan ushindi tumepewa bure ?
Anatumia masaburi kufikiri huyoAuba analipwa ile ni kazi yake na sio tumshukuru
Uwe unatumia akili
Mbaazi ikikosa maua.Burnley ni team mbovu na dhaifu sana, Arsenal bahati yenu mshukurun Auba la sihvyo ushindi mngeusikia kwenye bomba.
The Wizard of OzilOzil magicianView attachment 974797
Ozil magicianView attachment 974797
Anaisi hastail kutolewa sub hasa ukiangalia yeye ni namba tisa na anaitaj kushinda
Game nying lacazette anaanzia sub au hamalizi akianza
Lakin ni jambo dogo coz lacazette huwa anamsaada mkubwa sana ata unai analijua hilo, na pia tuna game ngumu uko mbele ndio maana anajaribu kumlinda kutokana na majerui
Anaisi hastail kutolewa sub hasa ukiangalia yeye ni namba tisa na anaitaj kushinda
Game nying lacazette anaanzia sub au hamalizi akianza
Lakin ni jambo dogo coz lacazette huwa anamsaada mkubwa sana ata unai analijua hilo, na pia tuna game ngumu uko mbele ndio maana anajaribu kumlinda kutokana na majerui
wewe ulimfunga ngap?wewe si walikukimbiza sana hawa.......au unajisahaulishaBurnley ni team mbovu na dhaifu sana, Arsenal bahati yenu mshukurun Auba la sihvyo ushindi mngeusikia kwenye bomba.
Auba ni mchezaji wa Liverfools kwani? Ulitaka aisaidie liverfool?Burnley ni team mbovu na dhaifu sana, Arsenal bahati yenu mshukurun Auba la sihvyo ushindi mngeusikia kwenye bomba.
Ila lazima ukubali ozil ana kipaji tatizo lake ni consistency.Daaa wew jamaa unampamba Ozil kinyama
Wakati leo Ozil alikua hoiiiii anaachama tuu kama mbwa.
Hakuna cha ajabu alichofanya leo kaingia na mpira kwenye box akaishia kupiga ka mpira ka kirembo ndo bahat nzur uka reflect ukamkuta iwob akafunga.
Siku ozil anavua uzi wetu wa arsenal nitakutafuta kabisa humu humu.