Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leno anapungufu makubwa sana ya kucheza mipira ya cross
 
Nilitarajia haya matokeo. Southampton ni wabaya kwetu hasa nyumbani kwa. Wapo kama Bolton wanderers na Stoke walivyokuwa
 
Niwape pole pamoja na kuchana ka mkeka kangu mmefungwa vigoli vichache tu ,tuendelee kutenganishwa na matokeo kama ivi itakuwa jambo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…