Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kutokushinda ni matokeo lkn cha moto ulikionaBaba sasa kwann hukushinda? Kwann mpaka utiwe na kuja kuchomoa dakk za mwisho. Muda wote huo ulikuwa unacheza nn hukushinda?
Na tutawavuta wengi wa Dortmund.... Mwishowe tuwe ka bayernKama Arsenal Watakua na Pesa ya Kumleta Dembele wamchukue tuu....
Kila mtu ni mtukutu duniani, inategemea anaishi na kina nani tuu....
Aubameyoung walisema ni mtukutu pia lakini cha ajabu maisha yanasonga tuu pale north London....
Dembouz ni mtoto mdogo sana kwa Konki Konki Konki Unai Emery Master.... Aje tuu
Hahahaa Yaan hapa twende mdogo mdogo hiv hiv had january, tuvute wachezaj watatuNa tutawavuta wengi wa Dortmund.... Mwishowe tuwe ka bayern
Nyie mkamaliza na nini?Kutokushinda ni matokeo lkn cha moto ulikiona
Tena mlitamba sana. Tukawaambia hapa,
Tulichoshuhudia ni fabinyo kucheza rafu na kuruka ruka tu
Na sitashangaa mkimaliza kapa msimu hu tena
Tukiongeza na defender wa nguvu Hakika itapendezaHahahaa Yaan hapa twende mdogo mdogo hiv hiv had january, tuvute wachezaj watatu
Then tutaheshimiana
Watu wa ukamen bhanaNyie mkamaliza na nini?
Ngao ya hisani si haba kuliko ww uliyesahau hata mlango wa kuingilia your own trophy roomNyie mkamaliza na nini?
Msimu huu mmeshinda ngao ya hisani?Ngao ya hisani si haba kuliko ww uliyesahau hata mlango wa kuingilia your own trophy room
Mwenzako anaongelea msimu huu. Nauliza nyie mtatoka na nn kama sisi tutatoka kapa?Ngao ya hisani si haba kuliko ww uliyesahau hata mlango wa kuingilia your own trophy room
Umeuliza"mkamaliza na nn??" nikakujibu ngao ya hisani.... Halafu unaniuliza swali kama hilo... Msimu huu umeisha???Msimu huu mmeshinda ngao ya hisani?
Ndo umuulize mwenzako sasa. Kama anajua msimi haujaisha anasemaje tutatoka kapa?Umeuliza"mkamaliza na nn??" nikakujibu ngao ya hisani.... Halafu unaniuliza swali kama hilo... Msimu huu umeisha???
Kwan ninyi si mmezoeleka bhana...mmeshindwa kwa ubora wenu wa last season mnategemea nn this season??!!!.... Timu isiyo na presha ya makombe...kila la kheriMwenzako anaongelea msimu huu. Nauliza nyie mtatoka na nn kama sisi tutatoka kapa?
Sawa. Nyie hamjazoeleka. Ngojen tuone mtapata nn huu msimu.Kwan ninyi si mmezoeleka bhana...mmeshindwa kwa ubora wenu wa last season mnategemea nn this season??!!!.... Timu isiyo na presha ya makombe...kila la kheri
Mnajulikana....hamshindagi makombe full stopNdo umuulize mwenzako sasa. Kama anajua msimi haujaisha anasemaje tutatoka kapa?
SawaSawa. Nyie hamjazoeleka. Ngojen tuone mtapata nn huu msimu.
Masikini akipata banaMnajulikana....hamshindagi makombe full stop
Nyie mliozoeleka mnayo mangapi mzee?Mnajulikana....hamshindagi makombe full stop
Kama yote vile....Nyie mliozoeleka mnayo mangapi mzee?
Ulicheki mechi????