Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal poleni kwa droo, ila msijali sana hawa jamaa ni kati ya timu chache kudroo na Man City (ambacho ndiyo kipimo cha ubora EPL).
 
Ukweli game ya palace tulionewa sana na refa hii ya woves kusema kweli ni kitimu kigumu sana msimu huu. Kinasumbua timu nyingi.
Pia usajili dirisha dogo tupate beki. Idara nyingine zipo safi.
 
Hahahahaha mgonjwa Arsenal sahiv anadraw na vitimu vilivyopanda daraja hivi karbuni

Baada ya kushinda mechi za kizembe zembe mfululizo walianza kuja kwenye thread za watu kwa fujo wakitangaza ubingwa.

Sasa hivi hata thread yao ukiwafata huwakuti.
 
Hahahahaha Acha wanyooke tena hawa wangecheza na Red star walingelishwa hata 10
Arsenal ni moja kati ya timu yenye fanbase trusting spirit kubwa muda wote duniani

Nafikiri Hatujapoteza mchezo mpaka sasa
Na tunamwalimu mgeni lakini kwa kinachoonekana mpaka sasa kulinganisha na wote huyu wa sasa najivunia nina imani na najua atarekebishaje mambo
 
Baada ya kushinda mechi za kizembe zembe mfululizo walianza kuja kwenye thread za watu kwa fujo wakitangaza ubingwa.

Sasa hivi hata thread yao ukiwafata huwakuti.
Woves siyo timu ya kizembe kama unavyofikiri.Man city wako vizuri walidraw nao halafu wewe unaibeza subiri ukutane nao.
 
Back
Top Bottom