Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nafikir ni game plan ya jamaa actually sio nzuri na kuna wakati defense inayumba nafikiri tumpe muda tuone sababu anatia moyo kiukweli na kwa ligi kama ile ukiwa na mwalimu anaependa kuumia kichwa baada ya mistake lazima mafanikio yaje na hiki ndicho alicho nacho jamaa huwa hakati tamaa. Unaona kabisa anakijua anachokitaka
 
Natmani sna awe active muda wote
 
..it needs to change, tukikutana na wagumu itakuwa ngumu kuchomoka.
 
Baada ya Crystal Palace tunakutana na majogoo wa Liverpool, hiyo ni test mujarab kabisa.
klopp anapenda kupata ushindi wa mapema anapenda kupata magori zaid na anakasi ya mchezo natamani sana kuona tukimfunga mtu huyu sababu anaviungo wengi
 
Klop anaumizaga kichwa sana yule jamaa yani nmtafakari mpaka inafika hatua naona bora nisubir siku ya game
 
Waungwan vip, naskia game yetu imeairishwa kutokana na ajali aliyo pata mmiliki wa Leicester city, kama kuna yoyote ana taarfa za uhakika kama game ipo au imehairishwa anijulishe
 
Waungwan vip, naskia game yetu imeairishwa kutokana na ajali aliyo pata mmiliki wa Leicester city, kama kuna yoyote ana taarfa za uhakika kama game ipo au imehairishwa anijulishe
Mechi ipi? Wanakufa wachezaji na mechi hazihairishwi sembuse ajali tu ya helikopta?
 
Selhurst Park ni mojawapo ya viwanja vigumu sana pale London

Angalieni msije mkatoka na manundu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…