Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huo Ni Mchanganyiko wa Matokeo Moaka ya Carabao na FA bro...

Hapa Tulikuwa Yukijadili EPL tu.

Lakini ukiangalia EPL hapo basis wewe umeshinda Michezo 6 Mimi Nimeshinda Michezo 4.

Hata Hivyo Hongereni Kwa Kufuta uteja.

Boss hii statement yako ilinistua
''Iwapo umeangalia Mpira Kuanzia 2005 ndiyo utasema Maneno hayo..

Lakini Kabla Ya Hapo Arsenal ilikuwa ikikutana Na Liverpool kazi Yake Ni Kuokota Mipira Nyavuni tu.

Arsenal Ndiyo Timu Pekee Uengereza iliyofungwa na Liverpool Miaka 8 mfululizo tokea Kuanzishwa Kwa EPL mwaka 1992.

See below ↓↓:' na hiyo screenshot niliyokutumia ni ya kutoka 2000 - 2006 ambapo katika match 18 umepata 3 draws, na umeshinda 4 tu!! hebu jaribu tene kunitafsiria hii *Lakini Kabla Ya Hapo Arsenal ilikuwa ikikutana Na Liverpool kazi Yake Ni Kuokota Mipira Nyavuni tu*
 
Boss hii statement yako ilinistua
''Iwapo umeangalia Mpira Kuanzia 2005 ndiyo utasema Maneno hayo..

Lakini Kabla Ya Hapo Arsenal ilikuwa ikikutana Na Liverpool kazi Yake Ni Kuokota Mipira Nyavuni tu.

Arsenal Ndiyo Timu Pekee Uengereza iliyofungwa na Liverpool Miaka 8 mfululizo tokea Kuanzishwa Kwa EPL mwaka 1992.

See below ↓↓:' na hiyo screenshot niliyokutumia ni ya kutoka 2000 - 2006 ambapo katika match 18 umepata 3 draws, na umeshinda 4 tu!! hebu jaribu tene kunitafsiria hii *Lakini Kabla Ya Hapo Arsenal ilikuwa ikikutana Na Liverpool kazi Yake Ni Kuokota Mipira Nyavuni tu*

Mwanzo Wa Hiyo Post ilianza na Mjadala Wa Game yetu ya EPL.
Kwahiyo hapo nikaendelea Kuquote EPL tu.

Usinilazimishe Niaccept Mawazo yako.
 
Mwanzo Wa Hiyo Post ilianza na Mjadala Wa Game yetu ya EPL.
Kwahiyo hapo nikaendelea Kuquote EPL tu.

Usinilazimishe Niaccept Mawazo yako.

siyo mawazo yangu boss!!
screenshot niliyokutumia ni ya kutoka 2000 - 2006 ambapo katika match 18 umepata 3 draws, na umeshinda 4 tu!! hebu jaribu tene kunitafsiria hii *Lakini Kabla Ya Hapo Arsenal ilikuwa ikikutana Na Liverpool kazi Yake Ni Kuokota Mipira Nyavuni tu*

next time uwe equiped na data kabla ya kuropoka!
 
siyo mawazo yangu boss!!
screenshot niliyokutumia ni ya kutoka 2000 - 2006 ambapo katika match 18 umepata 3 draws, na umeshinda 4 tu!! hebu jaribu tene kunitafsiria hii *Lakini Kabla Ya Hapo Arsenal ilikuwa ikikutana Na Liverpool kazi Yake Ni Kuokota Mipira Nyavuni tu*

next time uwe equiped na data kabla ya kuropoka!

Wacha Kujifanya Mjuaji Wakati Mtu mwenyewe umedandia Gari Njiani tu Kwenye huu mjadala.
Hujafikia Kiwango Cha Kunishauri Mimi nije na data Wakati Maneno yangu tu Kwa mtoto kama wewe Ni Data tosha.

Ilianza Hivi ↓↓

Arsenal 1.png


Sasa Hapo Nioneshe Matokeo Ya Carabao, Ngao au FA.


Then, Mimi Nikaendelea hivi ↓↓

Arsenal 2.png


Hapo Nimezungumzia Game za EPL tu na si Mickey Mouse Cup.


Then AkaniQuote hivi ↓↓

Arsenal 3.png



Mimi Nikamjibu Tena Hivi Kutumia Screenshot Za Baclays. ↓↓

Arsenal 4.png


Kwahiyo Hapo usitake Kujifanya Unajua Zaidi Kuargue na Watu!!! Angalia Argument ilipoanzia na Sababu ya Kuanza sio Univamie tu.

END OF ARGUMENT..

You can continue but expect nothing about my response.
 
Wacha Kujifanya Mjuaji Wakati Mtu mwenyewe umedandia Gari Njiani tu Kwenye huu mjadala.
Hujafikia Kiwango Cha Kunishauri Mimi nije na data Wakati Maneno yangu tu Kwa mtoto kama wewe Ni Data tosha.

Ilianza Hivi ↓↓

View attachment 893071

Sasa Hapo Nioneshe Matokeo Ya Carabao, Ngao au FA.


Then, Mimi Nikaendelea hivi ↓↓

View attachment 893088

Hapo Nimezungumzia Game za EPL tu na si Mickey Mouse Cup.


Then AkaniQuote hivi ↓↓

View attachment 893091


Mimi Nikamjibu Tena Hivi Kutumia Screenshot Za Baclays. ↓↓

View attachment 893095

Kwahiyo Hapo usitake Kujifanya Unajua Zaidi Kuargue na Watu!!! Angalia Argument ilipoanzia na Sababu ya Kuanza sio Univamie tu.

END OF ARGUMENT..

You can continue but expect nothing about my response.



peace king 😛😛😀😀 ! (2000 - 2006 18 games wins 4 draws 3 ) tusubiri hiyo ya unnai vs kl😳p
 
Mzee 6 and counting..
Ndoto ya asubuhi hii. Ila kila mmoja anayo haki ya kutoa maoni yake haata yakiwa fake Kama ya wale majamaa wa majogoo.

Game tano epl bila kufungwa tayari umeshatabiri kuchukua Epl.
 
Ni kichapo tu kwa kwenda mbele wameshavurugana pale juu tunapishana point mbili hiyo ni indicator tayari
 
TIMU IPI YA EPL INA MASHABIKI WENGI AFRICA?

Kama ukizungumzia mpira wa miguu (Soka) katika sayari hii na hasa ushabiki (Fanbase) basi English Premier League is the King.
Ni "Brand" ambayo imejitangaza vyema na kufanikiwa katika hili.Twitter imefanya utafiti kuhusu timu zenye mashabiki wengi barani Africa.Leo tunaangazia Timu za EPL zenye mashabiki wengi zaidi Africa katika mgawanyo wa Kanda nne,yaani East,West,South & North.

Kanda ya Afrika mashariki na kaskazini,Arsenal inaonekana kuwa na Fanbase kubwa japokuwa Egypt Chelsea imechomoza kuongoza.

Manchester City na Liverpool zinaonekana kuwa na mashabiki wachache japokuwa Manchester City imeanza kupata mashabiki katika nchi za kiarabu kama Morocco,Tunisia n.k

AFRIKA MASHARIKI (Arsenal).
Tanzania ni moja ya nchi za Afrika mashariki zenye wapenzi wengi wa soka,takwimu zinaonesha Manchester united ndio timu inayoongoza kwa mashabiki wengi zaidi lakini ukweli wasioujua wengi ni kwamba,katika eneo la Afrika mashariki Arsenal ndio timu yenye mashabiki wengi zaidi..
Hapa chini ni nchi na % ya mashabiki wa nchi husika.

TANZANIA
*Man utd--------25%
*Arsenal---------22%
*Chelsea--------17%

KENYA
*Arsenal---------31%
*Man utd--------23%
*Chelsea--------17%

UGANDA
*Arsenal---------36%
*Man utd--------23%
"Chelsea---------12%

ETHIOPIA
*Arsenal---------52%
*Man utd--------22%
*Chelsea---------07%

WEST AFRICA (Chelsea)
Katika eneo hili la Afrika magharibi Chelsea ndio timu inayoonekana kuwa na mashabiki wengi zaidi,haina ubishi mastaa wengi kutoka eneo hili wamecheza Chelsea kwa mafanikio makubwa Didier Drogba,Michael Essien,Solomon Kalou,John Obi Mikel,Samuel Eto'o na wengine kibao,Mchanganuo uko hivi

GHANA
*Chelsea---------26%
*Man utd--------18%
*Arsenal---------15%

SENEGAL
*Chelsea---------26%
*Man utd--------22%
*Arsenal---------15%

IVORY COAST
*Chelsea---------35%
*Arsenal----------23%
*Mau utd---------15%

NIGERIA
*Arsenal----------26%
*Chelsea---------25%
*Man utd---------18%

NORTH AFRICA (Arsenal)
Katika eneo hili Mashabiki wa Arsenal wanaonekana pia kuongoza japokuwa Egypt (Misri) Chelsea inaonekana kuwa na mashabiki wengi.
EGYPT
*Chelsea----------26%
*Man utd---------18%
*Arsenal----------17%

MOROCCO
*Arsenal-----------55%
*Chelsea----------14%
*Man City---------10%

ALGERIA
*Arsenal-----------43%
*Chelsea-----------19%
*Man City---------11%

TUNISIA
*Arsenal------------33%
*Chelsea------------22%
*Man City----------13%

SOUTH AFRICA (Man utd)
Katika eneo hili Manchester united inaonekana kuwa na mashabiki wengi zaidi.Mchanganuo uko hivi.
S.AFRICA
*Man utd--------23%
*Arsenal---------21%
*Chelsea---------18%

ZAMBIA
*Man utd----------30%
*Arsenal-----------27%
*Chelsea----------18%

ZIMBABWE
*Man utd------------28%
*Chelsea------------19%
*Arsenal-------------17%

MALAWI
*Arsenal-------------29%
*Man utd------------26%
*Chelsea------------16%
 
Matteo Guendouzi 'Grateful' to Unai Emery for First Team Opportunities:

“I’m very please to have Unai Emery as my coach. I’m convinced I’ll be able to make progress under him by working hard, which is the most important thing for me. He’s shown plenty of confidence in me since I arrived here, Not any coach would through a 19-year-old youngster into Premier League action, particularly at a club like Arsenal.”

#WeAreTheArsenal #AFC #COYG #TeamPAF
 
Per Mertesacker has announced the best XI he has played with

Robert Enke

Clemens Fritz, Laurent Koscielny, Naldo, Philipp Lahm

Felix Balitsch, Torsten Frings, Mesut Ozil, Diego

Claudio Pizarro, Miroslav Klose
 
Back
Top Bottom