Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndoto ya asubuhi hii. Ila kila mmoja anayo haki ya kutoa maoni yake haata yakiwa fake Kama ya wale majamaa wa majogoo.

Game tano epl bila kufungwa tayari umeshatabiri kuchukua Epl.
 
Hivi Kuna anayeweza Kunipa Concrete reason Kwanini Kocha wenu Katika FXI Kamueka Juu Aubamyang ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…