Target ni kushinda game 30 toka time zote zilizo nnje ya top 5 na bahati Mbaya fulham wako kwenye hiyo bracket wataponaje sasa.
Pia tutapiga mkubwa mmoja season hii. Na sare kadhaa za hao wakubwa kisha mengine tutaongea mwisho wa msimu.
90 point kutoka kwa hao 15 na chavhe kutoka kwa wakubwa.
Epl inaweza angukia home kama utani