Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Henrikh Mkhitaryan kuikosa mechi ya kesho dhidi ya Qarabag Fk katika michuano ya Uefa Europa league.
Mkhitaryan ambaye ni raia wa Armenia ataikosa mechi hiyo kutokana na mzozo ulipo baina ya nchi yake (Armenia) dhidi ya Azerbaijan inapotoka timu hiyo ya Qarabag Fk. Serikali ya Azerbaijan amepiga marufuku raia kutoka Armenia kuingia nchini Azerbaijan ingawa marufuku hiyo haiwazuii wachezaji wa michezo kutoingia nchini humo,Henrikh Mkhitaryan aliuambia uongozi wa arseanal kwamba hatosafiri na timu kutokana na mzozo uliopo baina ya nchi hizo mbili.
Chini vijana wakianza safari kuelekea nchi Azerbaijan kuikabili Qarabag Fk #COYG#
 
Guys,mwenye link ya group la Arsenal ambalo liko active atume aseeee
 
Naona mmembahatisha mnyonge.

Msiombe mje kukutana nasi baada ya hatua hii ya makundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…