Ila naona sababu ya mpira m'bovu ni kwakuwa timu ilikuwa ina pressure kubwa sana na hii ni kwa sababu ya kutofanya vizuri kwa mechi za mwanzo,ila tukishinda game mbili tatu naamini tutakaa sawa.
Ni lazima uwe ushindi wa tabu kwa ligi ya uingereza. Timu unazoona vibonde man akakaa man city kaishia sare tena akitokea nyuma. Angalia liver nyumbani pale pale wamenusurika hakuna kibonde uingereza.
Na hii ligi vigogo watadhalilishwa sana. Sasa nijuavyo mimi arsenal wanabebeaga points kwa hao. Akipata mwarobaini wa kuwakanyaga wazee wenzake ubingwa nje nje tu.
EPL hatari sana yaani imewafanya mashabiki wa Manure wamekua wapole kuliko maelezo wakati walikua wanajazana kwenye thread yetu na maneno ya kashfa leo kimyaaa wananyukana wenyewe kwenye uzi wao.
EPL hatari sana yaani imewafanya mashabiki wa Manure wamekua wapole kuliko maelezo wakati walikua wanajazana kwenye thread yetu na maneno ya kashfa leo kimyaaa wananyukana wenyewe kwenye uzi wao.
EPL hatari sana yaani imewafanya mashabiki wa Manure wamekua wapole kuliko maelezo wakati walikua wanajazana kwenye thread yetu na maneno ya kashfa leo kimyaaa wananyukana wenyewe kwenye uzi wao.