Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Hamutegemei Striker wakati Kila Siku Munalialia na Morata pamona na Giroud hapa?
 
Naona wale wachambuzi wa pre-season tayari wameshakimbia
Mkuu tukimbie kufungwa na Man City bingwa mtetezi?
Japo tumefungwa Timu yetu imemprove kiasi chake...
Vp wewe na Leicester uliionaje Timu yako?
 
Mkuu tukimbie kufungwa na Man City bingwa mtetezi?
Japo tumefungwa Timu yetu imemprove kiasi chake...
Vp wewe na Leicester uliionaje Timu yako?
Tuombe uzima wakati wa pre-season wachambuzi walikuwa wengi baada ya kipigo sijaona ule uchambuzi wao

Timu yangu most key players bado hawajagain momentum wengi hawakuwepo pre season(Pogba,Lukaku,Matic,Lingard) but tumeanza vizuri
 
Timu yao kipindi cha karibuni haijafanya usajili mzuri kiburi kitawaisha tu. Eti nao kwa kikosi hiki wanamtambia Liverpool na Man City 😕
Sasa Wewe na kikosi chako bora umebeba kombe gani mkuu?

Mimi nina vikombe viwili ndani ya misimu miwili.

Mwaka huu naongeza vingine ..Wewe endelea kujenga timu.
 
Man City kwani Walikamilika? Hujui Kama ulifungwa na Kikosi B cha Man City?
De Bruyne, Fernandinho, Silva, Otamendi, Sane, Jesus hawa wote Hawakuanza.
Lakini kipindi chapili waliingia Karib wote.

Kama sisi tungekuwa kamili wasingetoboa.

Sisi sio arsenal bwana
 
Yani Liverpool akiumia Moh Salah, Mane na Firmino au mmojawapo akikosekana tu basi liver lazima ipoteane.
Uo ugonjwa bado upo kwenu sana..
Tupo tutashuhudia mengi.
 
Tuombe uzima wakati wa pre-season wachambuzi walikuwa wengi baada ya kipigo sijaona ule uchambuzi wao

Timu yangu most key players bado hawajagain momentum wengi hawakuwepo pre season(Pogba,Lukaku,Matic,Lingard) but tumeanza vizuri
Unachekesha sana yaani hapo ndio umeitetea timu yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…