I suggest he should have ended his Gemany citizenship too..!Mesut Ozil ameamua kuachana rasmi na timu yake ya Taifa(Germany) baada ya mvutano wa muda mrefu kutokana na picha yake aliopiga na Raisi wa Uturuki Erdogan,Leo Ozil ametoa statement ya kuachana na timu akilalamika kubaguliwa kutokana asili yake pamoja na kua yeye ni muislamu na pia amefedheheshwa na lawama toka kwa waandishi wa habari wa Germany wanatoa lawama kua yeye ndio sababu timu yao kutolewa mapema kwenye kombe la Dunia
Nita share hiyo statement soon.
anaeangalia hii game tuambiane kama timu imebadilika au inacheza vilevileToday lineupView attachment 819503
Imebadilika kiasi though dakika 41 jamaa wamepata bao la kuongoza. Atl 1-0 Ars HTanaeangalia hii game tuambiane kama timu imebadilika au inacheza vilevile
Ulikuwa ni uchaguzi wa ujerumani?Ozil ni famous dunia nzima, ni model wa watu wengi sana duniani, watu wanaangalia anafanya nini, Turkey ilikua kwenye vuguvugu la uchaguzi na Erdogan ni mmoja wa wagombea, alafu unaenda kupiga picha na huyo mgombea, katika hali ya kawaida unadhani watu wataipokeaje?
Pili, Erdogan ni mhasama mkubwa sana wa wajerumani kwa sasa, kaua na kufunga wandishi wa habari wa ujeruman wengi sana hivi karibuni, unadhani wajerumani wangefurahia kumuona star wao akiwa na adui wa nchi yao?
perfomance ya arsenal ilikuaje!?..wanakaba/press au bdo wanakaba kwa macho,wana kasi au bdo slow?Mechi meisha goli 1-1
Zinapigwa penalties.
Athletico Madrid wanashida penalty 2 na Arsenal wanakosa zote.
AM wanashinda kwa goli 3-1
Jumamosi Arsenal itacheza na PSG kwenye uwanja huuhuu wa taifa wa Singapore.
perfomance ya arsenal ilikuaje!?..wanakaba/press au bdo wanakaba kwa macho,wana kasi au bdo slow?
mkuu jana jamaa wamecheza 4-2-3-1 ambapo safu ya walinzi wanne ilichezwa na hector,kolasenac,mustaphi na holding wakati ramsey na matteo walipiga hapo chini juu akacheza smith rowe mfungaji wa goli la jana wings zilishikwa na auba upande wa kusoto na dogo nelson upande wa kulia huku mbele kabisa akasimama lacca .....huyu dogo manywele yeye alikuwa akipoteza sana mipira na shida kubwa ni kuwa hana nguvu za kutosha ingawa anaonekana kujiamini sana na anaweza kumiliki mpira vizuri na kutoa pasi zinazofika alikuwa anadondokadondoka mno kila akiguswa kidogo........mustaphi nae bado anaonekana hajawa vizuri,holding huyu ndiye aliyetoa boko la jana.....naamini zile pacha mbili za ugiriki zikianza itapendeza zaidi pale katiMambo makuu matatu lakini kabla ya kuyasema hayo nisisitize kwamba Pre-season kwa Arsenal inamaanisha Practice yaani kujifunza mbimu mpya.
Jambo la kwanza ni kwamba bado Arsenal wakikutana na timu inayocheza mtindo wa kujihami kama Athletico, basi wanakosa mbinu za kufatuta kupata nafasi za kufunga.
Mateo Guandouzi leo alikuwa kila mara akipoteza mipira kwa wachezaji wa kiungo wa AM.
Hili ni eneo ambalo kochaEmery ataliangalia khasa kwa kuzingatia bado Mesut Ozil na Lucas Torreira bado hawajaanza kucheza rasmi. Torreira ana uwezo wa kuuchukua tena mpira unapopotezwa na Ozil atasaidia kutafuta vyumba zaidi huku akisaidwa na Torreira endapo atapoteza mipira.
Jambo la pili ni kwamba kipa wa Arsenal atakuwa ni Leno na Cech atakuwa namba 2 huku Aubameyang akiwa mshambuliaji wa pembeni na Lacazette akiwa ni namba 9 wa Arsenal.
Pia Arsenal wamecheza mtindo wa 3-4-3 badala ya ule wa 4-3-3 huku Emery akiwa anatoa maekelezo kwa sauti kila mara jambo litalosaidia timu kucheza na kufuta maelekezo, huku wachezaji wakionekana wapo fit na wenye nguvu.
Jamb la tatu na mwisho ni kwamba Arsenal bado safu yake ya ulinzi inatia shaka khasa pale Rob Holding alipojikuta akipitwa na mchezaji wa AM Angel Correra kufunga goli lao la kwanza.
Matteo Guendouzi na Aaron Ramsey nao wakiwa wanachanganywa katikati hivyo kusababisha timu kushambuliwa kila mara.
Lakini kama nilivyosema hapo juu Lucas Torreira na Mesut Ozli watakaporudi wataziba nafasi za hawa wawili na sehemu ya katikati itakuwa sawa.
Sead Kilasinac nae alikuwa kilaa mara akipitisha watu upande wake wa kulia.
Habari nilizozipata kwa sasa ni kwamba
Nzonzi hatumuhitaji tena na ni kwasababu kumbe Nzonzi alikuwa kaandaliwa coz kuna muda dili la ramsey lilikuwa halieleweki lakn kwa sasa Ramsey karibia kila kitu kipo sawa atasaini muda si mrefu kwahyo Nzonzi hatumwitaji labda itokee pancha mbaya kabla ya msimu kuanza ya midfielder then ndo Nzonzi kama option.
Ospina anaondoka besktas wanamaliziana na arsenal na ataondoka ospina anataka kuwa namba 1 kwahyo klabu iko tayar kumwachia
Osman Dembele kuna mtu aliuliza huyu ndo mchezaji ambaye timu inapambana kufa kupona aje arsenal kabla ya tar.9/8 Sven ndo anayeliendesha hili na Raul mazungumzo yanaendelea kati ya Barcelona Na Arsenal so until next week tutajua tumefikia wapi ila tupo very very serious...