Kwa wale wote waliofikiria tunamchukia AW leo ndio wameelewa, ubovu huu wa timu ILIBIDI TU TUSEME "ENOUGH IS ENOUGH"
Kocha mpya pale inabidi aa "overhaul" almost half of the regulars, AW kadai kaacha "special players", kwa kweli sijaona, zaidi ya "mediocre" of players, season after season, hii hali ilikuwapo, nafikiri hata yeye kashuhudia..
Na kama AW angeendelea, wakuu msimu ujao (2018/19) sidhani hata kama kwenye top 10 tungekuwepo, zaidi ya kuwa kwenye hatari ya relegation..
Mavi yao kabisa..