Ile timu haihitaji kocha wa bei mbaya, yahitaji kocha wa kuwaambia, siyo kuwafundisha, art of defending and being offensive at the same time, yaonekana kuna wachezaji waliopo AW hakusumbuka kabisa kuwaambia ku defend ni kazi ya timu na siyo defenders peke yao..
Achana na Enrique, hata akichukuwa Vierra/Arteta, Bould, Tony Adams, poa tu...