Kwanza una umri gani? Maana washabiki wa Loserfool wengi ni wazee kama wewe ni kijana basi umedandia treni kwa mbele maana jamaa mara ya mwisho kubeba kombe la ligi ya uingereza wachezaji wengi katika kikosi chenu walikuwa hawajazaliwa...... Hahahahahahaha nachekaga sana nikilifikiria hili then nikimuona kijana anajifanya shabiki wa loserfoolish die hard,alafu mkae mjue nyinyi hamjawahi kubeba kitu kinaitwa EPL tafuteni hilo kwanza maana ni aibu kubwa.......
Sorry