Karibu Arsenal uku unaruhusiwa kucheza mpira sasa ile mentality ya kupaki treni usije nayo.
Kama n mvivu ajiandae AW n mkali balaa asishangae akaanza katwa mshahara asipotia bidii kwenye mazoez.As Man Utd fan...as much as I hate to admit it ila naamini Mikh atafit perfectly kwenye aina ya mchezo wa Arsenal...na atashine upya...wasiwasi wangu tu ni kwamba huyu jamaa ni mvivu wa mazoezi na Wenger hana kasumba ya kuwa mkali kwa wachezaji...akiachwa akaendeleza tabia hii he mighty be an average player ila nampa 8/10 anataiboost massively Arsenal...hongereni sana watani
Mkuu hebu tuwekeeni kabati letu la vyombo tuvione jamani
Mkuu hebu tuwekeeni kabati letu la vyombo tuvione jamani
- The club has won 13 League titles
- A record 13 FA Cups
- Two League Cups
- The League Centenary Trophy
- 15 FA Community Shields
- UEFA Cup Winners' Cup
- Inter-Cities Fairs Cup.
Manguli wa wa habari vipi mko wapi?! Pierre-Emerick Aubameyang kaingia Emirates????!!!!
Hili libabu bado linaleta ubishi kama vile hela yatoka mfukoni mwake!! *****, Arsenal washatangazwa pochi wanalo, Dortmund ving'ang'anizi, wanataka kutukamuwa vilivyo, babu akate pochi tu...
Huyu babu maudhi sana..sijuwi lini walahi ataondoka pale..Hii deal inaweza kufa kirahisi sana maana nimemsikia AW anasema hana uhakika kama watafanikiwa ila wanafanya jitihada wafanikiwe mpaka hapo nikaona inaweza kua kama zile deal nyingine ambazo tunaenda mazima tunarudi mikono mitupu.
Huyu babu maudhi sana..sijuwi lini walahi ataondoka pale..
Kweli...Dortmund wanamtaka OG12 awe sehemu ya biashara ila sasa AW alivyo na mahaba kwa OG12 hapo ndio panakua pagumu naona tetesi zimekua nyingi sana ila muda ni hakimu sahihi siku si nyingi yote yatajulikana.
Pandisha juu hapo
- The club has won 13 League titles
- A record 13 FA Cups
- Two League Cups
- The League Centenary Trophy
- 15 FA Community Shields
- UEFA Cup Winners' Cup
- Inter-Cities Fairs Cup.
Nimerudi mkuu maana niliona kabati lenu liko tupu na milango iko waziAkirudi utanishtua swahiba...
ππ‘πππ±π³π΅MKITAKA WEBSITE YA KUBET INAYO TOA MIKEKA NA NI WEBSITE YA NJE NINA MAANA YA WALE WAZUNGU NGULI WA KUCHAMBUA NA KU RISK MIKEKA NA INATOA ASILIMI 98% NI WEWE MWENYEWE UKITAKA ODD ZOZOTE NI UN CHANGUA TU BONYEZA HAPA>>>>>> WINTIPS100.COM