Tetesi
ARTETA APANGWA KUWA MRITHI WA WENGER
Mikel Arteta ndiye anayeweza kupewa mikoba ya Arsenal kumrithi Arsene Wenger, kwa mujibu wa Daily Telegraph .
The former Spain international is currently working at Manchester City under Pep Guardiola, but is held in high regard by the Gunners.
Wenger's current contract expires in 2019, and Arsenal are working up a shortlist of replacements, with Arteta near the top of the list
Mchezaji huyo wa zamani wa kimataifa wa Hispania kwa sasa anafanya kazi Manchester City chini ya Pep Guardiola, lakini anapewa nafasi kubwa na Gunners.
Mkataba wa Wenger unafikia mwisho 2019 na Arsenal wameanza kuangalia makocha wanaoweza kuwa mbadala wake, Arteta akiwa wa kwanza kwenye orodha.