Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal uingereza ilikuwa inasumbuliwa na Man Utd pekee. Kwa kocha ilikuwa mourinho ila kwa sasa mwiko umevunjwa.
Wenger alibugi kumchezesha Ox ile game ndiyo maana baadhi ya wachezaji waligundua mchezo mchafu mfano Sanchez.
Hadi sasa naamini arsenal wana kikosi kizuri kuliko timu zote bali matumizi tu .

Loooo we jamaa Mungu anakuona ila utakuwa utani sifikirii kama una maanisha ulichoandika.
 
Match day
b40b55a38dcf4468ce4141be772b44a1.jpg

Tunazihitaji 3 Pts leo kuliko kitu chochote,all the best Gunners.
 
HT
Arsenal 1-0 Brighton
Pamoja na kucheza vizuri 1st half ila tatizo la umaliziaji bado linatusumbua,tusipo score goli mapema 2nd half tunaweza jikuta tunapata matokeo mabovu.
 
Tunamuhitaji wilshere humu iwobi naona hana impact Sana nafasi nyingi tulizopata ni makosa waliyofanya hawa jamaa,tunahitaji wilshere kuongeza ubunifu ingiza Jack ramsey akacheze kwa iwobi
 
Tunamuhitaji wilshere humu iwobi naona hana impact Sana nafasi nyingi tulizopata ni makosa waliyofanya hawa jamaa,tunahitaji wilshere kuongeza ubunifu ingiza Jack ramsey akacheze kwa iwobi

Iwobi sioni kabisa mchango wake leo,timu ime-possess na tuna attempts kibao hakuna mtu wa kuiua game very disappointing
 
Ok ok ok atleast tunaweza kufikiria 3 pts.
Iwobi kwenye score sheet
Arsenal 2-0 Brighton.
 
FT
Arsenal 2-0 Brighton
3 Pts muhimu kabisa pamoja na kua sio matokeo ya kufurahisha sana.
 
Hongereni watani siku hizi points mpaka uzichukue timu zimejiandaa sio matokeo yapatikane kabla ya mchezo
 
Back
Top Bottom