M CM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 2,498
- 1,482
typing error i mean ‘UEFA’EUFA ndio kitu gani mkuu?au ulikua unataka kuandika nini usaidiwe![]()
typing error i mean ‘UEFA’EUFA ndio kitu gani mkuu?au ulikua unataka kuandika nini usaidiwe![]()
Arsenal uingereza ilikuwa inasumbuliwa na Man Utd pekee. Kwa kocha ilikuwa mourinho ila kwa sasa mwiko umevunjwa.
Wenger alibugi kumchezesha Ox ile game ndiyo maana baadhi ya wachezaji waligundua mchezo mchafu mfano Sanchez.
Hadi sasa naamini arsenal wana kikosi kizuri kuliko timu zote bali matumizi tu .
Watu Waliopenda Mpira 2005 mpaka 2017 utawajua tu..... Hebu Kaangalie Vizuri Kumbu Kumbu Za Timu yako ikisha ndiyo uje uropoke....
Match day
![]()
Tunazihitaji 3 Pts leo kuliko kitu chochote,all the best Gunners.
Kwakuwa Unacheza na Kibonde Ndiyomana Unasema maneno hayo
️Tunamuhitaji wilshere humu iwobi naona hana impact Sana nafasi nyingi tulizopata ni makosa waliyofanya hawa jamaa,tunahitaji wilshere kuongeza ubunifu ingiza Jack ramsey akacheze kwa iwobi


Usmanov....
![]()
Kroenke siku akizitia mikononi hizo 30% hii timu itakua kama Super market tu mwendo wa biashara bila kujali mambo mengine.



