Arsenal (The Gunners) | Special Thread



0 shots on target..
Leo ilikua liver-poor vs vipofu fc

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile app
 
4G

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Sema Mkuu? Mie sasa hivi nimesimamisha upenzi wa timu hii hadi Babu ajiuzulu au afukuzwe. Nimechashoshwa na vipigo ya kipuuzi kila msimu. TImu walizocheza nazo Liverpool katika mechi mbili za kwanza walingangamara na hivyo kutofungwa nne kwa nunge lakini Arsenal ni kichochoro kikubwa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…