Hongereni sana......Leo mmenifurahisha....Chelsea walitegemea watokee tu uwanjani washinde....Hawakujua hii ni fainali chochote kinaweza kutokea.....Arsenal wamepigana 200%....Leo hadi Ozil anakaba!
Ukitaka kuchukua ubingwa mechi zote inabidi mcheze hivi,kama fainali...
Hongereni sana......Leo mmenifurahisha....Chelsea walitegemea watokee tu uwanjani washinde....Hawakujua hii ni fainali chochote kinaweza kutokea.....Arsenal wamepigana 200%....Leo hadi Ozil anakaba!
Ukitaka kuchukua ubingwa mechi zote inabidi mcheze hivi,kama fainali...
Kapata kiki ya kung'ang'ania kurudi msimu ujao kwa kuwafunga mabingwa wa EPL. Mabingwa wa kombe mbuzi la FA kwa mara ya 7 more than any other team in UK.
Asante sana RRONDO maana hawa wameshaanza kuninyanyasa wakati nimewapigania kweli kweli,......yaani wamekazana tu than other team in UK .....haya bisheni na hapa sasa!!! Hahahhaaha
Ngoja nikatafute Vodka, tena ya kirusi original, nitulize nerves, asie....kutokujiamini kitu kibaya sana aise...
Nite nite Gunners, well done boys, ila bado mzee aende, signings za kufa mtu, Kroenke out...just my opinions..
Sayonara..