Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hongereni sana......Leo mmenifurahisha....Chelsea walitegemea watokee tu uwanjani washinde....Hawakujua hii ni fainali chochote kinaweza kutokea.....Arsenal wamepigana 200%....Leo hadi Ozil anakaba!

Ukitaka kuchukua ubingwa mechi zote inabidi mcheze hivi,kama fainali...
 
Mkuu, eti season ijayo mnaenda CL?
 
Kapata kiki ya kung'ang'ania kurudi msimu ujao kwa kuwafunga mabingwa wa EPL. Mabingwa wa kombe mbuzi la FA kwa mara ya 7 more than any other team in UK.
Ohhhj!!! Na wewe umeanza!! Unajua ukisema more than any other team unaniumiza sana!!!!!
 
Reactions: BAK
Ni swala la kujipongeza, ila mzee [HASHTAG]#wenger[/HASHTAG] ni vyema atumie nafasi hii kustaafu kwa heshima na moyo mmoja
 
Reactions: BAK
Kasi na kutopoteza mipira ndiyo ilikuwa siri ya Arsene Wenger kuwatia kingi Chelsea nao wakaingia laini kiulaini
 
Ngoja nikatafute Vodka, tena ya kirusi original, nitulize nerves, asie....kutokujiamini kitu kibaya sana aise...
Nite nite Gunners, well done boys, ila bado mzee aende, signings za kufa mtu, Kroenke out...just my opinions..
Sayonara..
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…