ARCHBISHOP
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 271
- 485
Kwasababu moyo wako umejawa na chuki katika mambo yasiyo kuhusu.Tangu nilipojua Lipumb nae ni shabiki wa hii team napata shida sana kujitambulisha kama mwana Arsenal
Kwasababu moyo wako umejawa na chuki katika mambo yasiyo kuhusu.Tangu nilipojua Lipumb nae ni shabiki wa hii team napata shida sana kujitambulisha kama mwana Arsenal
Ofu yako nin mkuuTangu nilipojua Lipumb nae ni shabiki wa hii team napata shida sana kujitambulisha kama mwana Arsenal
Tangu nilipojua Lipumb nae ni shabiki wa hii team napata shida sana kujitambulisha kama mwana Arsenal
Nilikuwa sijui,daaaah.
Ukistaarabika utaelimika, ukielimika utastaarabika.Arsenal ni wastaarab sana,hivi Arsenal tumeshinda sioni katuni wala vitendo vyovyote vya kejeli dhidi ya Man U,tungekuwa tumefungwa sasa...
Duuuuuh aiseee ratiba ngumu sana + na hiyo fainaliRATIBA YA MICHEZO 5 ILIYOBAKIA KUMALIZA MSIMU WA 2016/17
Tumebakiza michezo minne ya EPL ili kukamilisha msimu 2016/17 Ni michezo muhimu katika harakati za kuwania kumaliza katika vilabu vinne bora vya EPL ili kupata nafasi ya ushiriki wa UEFA kwa msimu wa 2017/18. katika michezo hiyo minne michezo miwili tutacheza tukiwa ugenini na michezo miwili tutamalia kwenye uwanja wetu wa nyumbani.
Mchezo wa fainali ya FA Cup ndio utatukamilishia ratiba kwa mshimu wa 2016/17 mchezo huo utaopigwa katika dimba la Wembley dhibi ya Chelsea.
![]()
Ratiba ni ngumu kiukwel ila naiman wachezaji watajituma ili kufanikisha kushiriki UEFA kwa msimu wa 2017/18 imani yang kubwa point zote 12 za michezo minne tutaweka kibindoniDuuuuuh aiseee ratiba ngumu sana + na hiyo fainali![]()
Eeeeeeh Mungu saidia.
Weeeh hiyo timu ya mashetani usinitajie, ndio MO11 ananishawishi niishabikie arsenal bado namfikiria, nikiwaza na haya mambo ya wenger ndio kabisaaaaa.Umeshasahau mara hii? Ni miaka miwili imepita sasa tokea nikuambie mimi ni Arsenal wewe kama sikosei ni Man U.
Nafikiri zimefika mama.
Kwakweli sisi wastarabu. Ila wabishi na wavumilivu kweli kweliArsenal ni wastaarab sana,hivi Arsenal tumeshinda sioni katuni wala vitendo vyovyote vya kejeli dhidi ya Man U,tungekuwa tumefungwa sasa...
Kula tano Niffah maana unajua kupenda timu nzuri zenye soka la uhakikaUmeshasahau mara hii? Ni miaka miwili imepita sasa tokea nikuambie mimi ni Arsenal wewe kama sikosei ni Man U.
Nafikiri zimefika mama.

COYGKula tano Niffah maana unajua kupenda timu nzuri zenye soka la uhakika![]()
![]()
Hapo nakuacha shem,,,leo nakuombea njaa taifa kagera akutindue tindue halaf tukutane hapa hapa nikuchambeCOYG![]()
Leo tukutane VPL tuwakalishe watoto wa Kaitaba.