Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,275
- 4,607
Mashabaki wengi bado wanaimani na wenger Mkuu.Nakusubiri kibabu wenger kiondoke kwenye timu yetu,,ndo nitaongea..Safari yake kurudi chini imeanza na ninaamini itashika kasi nzuri sana siku zijazo.
Poleni na musiba wa Leo.
