Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,125
Mtachukua kikombe kwa timu ipi kamanda..acha kuishi kwenye denial. Second game kibao cha Porto kitawageukia..lolDuuh wachawi hawajafurahia eti arsenal itafungwa kote, angalieni tutachukuwa kombe.
mfupa uliomshinda fisi nyau atauweza wapi??shukuruni mmepata penati kama ilivyokuwa na man utd last season,this was a masterclass,u've been given a lesson how to play football,barcelona is another level,u have long way to go.
Barcelona simply blew chances after chances....Ngoja tuone watafanyaje Nou Camp!Arse bana..yaani wanaishi ktk denial.Sasa hivi zile chance za first half Barca wangezitumbukiza kimiani si ingekuwa aibu?
Nadhani tungeenda kwenye kama 7-0 au zaidi
mfupa uliomshinda fisi nyau atauweza wapi??shukuruni mmepata penati kama ilivyokuwa na man utd last season,this was a masterclass,u've been given a lesson how to play football,barcelona is another level,u have long way to go.
Mtachukua kikombe kwa timu ipi kamanda..acha kuishi kwenye denial. Second game kibao cha Porto kitawageukia..lol
What about you, who tought u 2 play football! Au nyie ndio walewale wa kusema LAZIMA arsenal ifungwe.........Poleni
Barcelona simply blew chances after chances....Ngoja tuone watafanyaje Nou Camp!
Anaota huyo!Mtachukua kikombe kwa timu ipi kamanda..acha kuishi kwenye denial. Second game kibao cha Porto kitawageukia..lol
Barcelona simply blew chances after chances....Ngoja tuone watafanyaje Nou Camp!
Anaota huyo!
Heeeeeeeeeeee nilidhani mwenzetu, samahani ngoja nikufute............
Heeeeeeeeeeee nilidhani mwenzetu, samahani ngoja nikufute............
Stupid arsnl playerz r so nervous of big games till last minutes.
Kwa kweli naogopa camp nou kama mambo ndo hivi kuogopa wanaume wenzao.
Wajitahidi kuzoea majina bana. Mbona MESSI wameweza kumficha mpaka akawa substituted!
Arsnl have 2 stop being lazy.
πππ ha ha ha haaaa hhaaa...!
WACHA!
Missing you buddy!!!!
Unaongelea Manure waliowafunga mechi 2 msimu huu au ipi hiyo?...acheni kutufananisha na Manure nyie bana,...π
mtafurahi wenyewe jumanne ijayo.
Barca wameshindwa wenyewe kuua game leo...i thought it was all over....
All in all, what a reception, what a send off baada ya mechi for the Great man himself...
THIERRY HENRY, THE LEGEND!!!
Anaota huyo!
Stupid arsnl playerz r so nervous of big games till last minutes.
Kwa kweli naogopa camp nou kama mambo ndo hivi kuogopa wanaume wenzao.
Wajitahidi kuzoea majina bana. Mbona MESSI wameweza kumficha mpaka akawa substituted!
Arsnl have 2 stop being lazy.
ulikuwa wapi dkk 990 za mtanange?I think safari imewadiaππ...Na hili ndilo kosa walilolifanya,mabeki akili yao yote ilikuwa kumkaba Messi na kumsahau Ibra....Matokeo yake ndo haya....Anyways It's not over till it's over....Twendeni Nou Camp,anything can happen(miujiza...lol)