nami nilitaka nikuulize kama ulipoteza usingizi wako.Ahsante sana. Ukishazoea vipigo kama hivi hata moyo na akili vinakuwa sugu maana vyote vilishajiandaa kwa kipigo kitakatifu. Imekuwa kawaida sasa na kawaida ni kama sheria tukitoa pua na Bayern au BARCA basi ni mkong'oto wa kufa mtu. Bora hata sikuangalia hii mechi.
nami nilitaka nikuulize kama ulipoteza usingizi wako.
hapa kuna jamaaa namsubilia ofisini mana jana alikuwa na mbwembwe sana.
acha tu ndiyo namsubilia hapa, nataka nishibe mapema nimuandame mpaka akome.Hahahahaha huyo ana lake jambo. Mbwembwe za Arsenal inapocheza na Bayern!?
Kuna jamaa yangu mshabiki wa Arsenal jana nilimwambia afadhali alale tu maanake matokeo yatakuwa kama ya psg vs barcelona!Hahahahaha huyo ana lake jambo. Mbwembwe za Arsenal inapocheza na Bayern!?
Kuna jamaa yangu mshabiki wa Arsenal jana nilimwambia afadhali alale tu maanake matokeo yatakuwa kama ya psg vs barcelona!
acha tu ndiyo namsubilia hapa, nataka nishibe mapema nimuandame mpaka akome.
Pole mkuu wangu umeandika kwa uchungu, binafsi nafikiri tatizo lenu ni bench la ufundi, imefika muda wapishe akiri mpya na mbinu mpyaIt's gonna be 7th time in succession no quaterfinal and we campaign in every season ...yanini sasa?
Yaani tuongeze kundi, tusiongoze na kupita kama best loser destination yetu ni ile ile, huoni ni kujichosha huko bila kuambulia chochote zaidi ya hasara tu huku kwenye michuano ya ndani kutokana wasteful reserved energy?
Mi naona hata msimu hujao tusipo shiriki hii michuano itakuwa ni advantage kubwa sana kwa sababu tuta converge efforts zote kuzielekezea kwenye michuano ya ndani na kwa kufanya hivi hakika hatuwezi tukakosa hata kimoja kati ya vyote vile...!!
Arsenal ina matatizo mengi tu na kubwa hasa ni kuwa na kikosi chenye wapambanaji wachache unao weza kuwategemea kwenye hatua kama hii.
Kingine Arsenal ilishapoteza momentum kwenye haya nashindano kutokana na hizi early eliminations... Unajua kwenye haya mashindano kadri unavyokuwa unasonga mbele ndio hata confidence na adamancy kwenye timu zinaimarika na unajikuta na wewe unakuwa mgumu automatically. mfano timu kama Atletico madrid sasa hivi inauwezo wa kupambana dhidi ya timu yoyote ile na pakachimbika wala hawawezi kutolewa kizembe, misimu kadhaa ya hawakuwa hivi. Arsenal hata angepangwa na Benfica bado ngoma ingekuwa tough tu si unakumbuka monaco!?
Kiufupi tu kwamba arsenal umefika muda sasa tu forego hiyo champions league na turudi kutafuta heshima EPL kwa nguvu...tukisema tuendelee kuitolea macho hii michuano we have to expect the same story over and over!!
sana, mana uwa ananisemaga sana na nafasi yetu ya 6.Umempata leo eeh! Roho yako nyeupeee!
Acha uku.da wewe, unaanzaje kufananisha Arsenal na wa kimataifa??? fananisha na mikia at least the got something in common
wakija nyumbani tutarekebisha makosa, tena sanchez na Ozil watakwepo lazima tupite.
sana, mana uwa ananisemaga sana na nafasi yetu ya 6.
Timu yangu ni mbovu kila dept. Ni aibu kubwa kwa timu ya EPL kupigwa idadi ya magoli kama hii karibu kila mwaka kwenye UEFA ama na BARCA au Bayern Munich. Waswahili walisema BURE GHALI!