Arsenal ni sawasawa na Yanga tu. Hawa, hawana jipya kwenye mashindano ya kimataifa, yaani wanaridhika kupanda ndege tu na kuwa wasindikizaji mwaka nenda mwaka rudi.
Pengo la kuumia Kos limeonekana. We will see them at Emirates, Ozil missed a sitter, they have an advantage but anything can happen in football. If any team can win its the Gunners watch this space.