Kipenzi mbona ukapotea hivyo, ujue nikifungwa stress zangu unanisaidia kuzimaliza. Hawa chelshit noma sana!!Ohhhhh!!! Moyo wa kipenzi changu hiki tafadhali sukuma damu yake na si mengine!!! Unaona sasa amekufa na kazikwa yeleuwiiiiiiiiiiii mume wangu nitakuona wapi mie!!!!...... mimi nakwambia achana na Wenger unekazana eti moyo mashine ushapenda na nisikuulize umependea nini? Unaona sasa umedead yeleuwiiiiii!!!!!!!
Watu wamechanganyikiwa hadi wameanza kuzungumzia aggregate kwenye ligi
Hicho ni kikombe.
Nipo kipenzi,pole sana kipenzi na hili nalo litapita jipe moyo......hawa Chelshit wamekuwa Mr misifaKipenzi mbona ukapotea hivyo, ujue nikifungwa stress zangu unanisaidia kuzimaliza. Hawa chelshit noma sana!!
Sasa Mimi niliwambia sio vizuri kuambatanisha misiba tatizo nyumba hii inawagonjwa wengi kweli ,hull city atakuja na sindano ya sumu kummalizia mwingine kateseka sanaJamani mimi ndo mkusanya rambirambi. Ule msiba uliotokea Emirates kwa kupigwa na Watford. Marehemu kazikwa leo Stamford Bridge. Huenda matanga yakaendelea kwa wiki moja zaidi nyumbani kwake Emirates pale ambapo ndugu zao kutoka jiji la Manchester watakapowasili kutoa salamu zao za rambirambi.
Kikomberappa
Cheki kama Huyu....sifa kitamuuaNipo kipenzi,pole sana kipenzi na hili nalo litapita jipe moyo......hawa Chelshit wamekuwa Mr misifaachana nao mwenyewe siwapendi kama nini,twende zetu kipenzi nikakupe mapenzi mubashara chaaaaaaa!!! Unajua nilichanganyikiwa ulivyosema umedead
Huu Msiba ni wa wote. Naomba tushiriki kikamilifuSasa Mimi niliwambia sio vizuri kuambatanisha misiba tatizo nyumba hii inawagonjwa wengi kweli ,hull city atakuja na sindano ya sumu kummalizia mwingine kateseka sana
Pole kwa kipigoWandugu i know most of U are disappointed na matokeo ya Watford,
Wengi tulitegemea ushindi na ungekuwa wa muhimu kwa kuamsha hari ya game dhidi ya Chelsick.
Mimi niko tofauti kidogo wala sina shaka. Yes they are stable na wana nafasi ya kushinda mechi ya kesho coz wako kwenye state ya hari ya kimchezo hiyo ni advantage.
But nina imani Gunners tunaweza kutumia hasira za mechi iliyopita in a positive way to win the game kama Wenger can get a gud use of that kuwapa wachezaji morale na hili naliona. Its very rare kukuta hata kwenye website ya arsenal hakuna updates za maandalizi ya game inayokuja ukizingatia ni big match.
Hii inanipa picha kuna kitu wenger anakipika bila kutaka kuwaamsha hawa majirani bado namuamini huyu babu. Mechi ya kesho huwezi kamwe kusema inatoa picha ya ubingwa bali inakusogeza karibu na upingwa. Bado nina imani tutashinda.
With chalenge ya midfielders ikifanyiwa kazi vyema nauona ushindi bado.
Poleni ndio raha ya ushabiki
Nipo kipenzi,pole sana kipenzi na hili nalo litapita jipe moyo......hawa Chelshit wamekuwa Mr misifaachana nao mwenyewe siwapendi kama nini,twende zetu kipenzi nikakupe mapenzi mubashara chaaaaaaa!!! Unajua nilichanganyikiwa ulivyosema umedead