NOVEMBERMsimu huu Ku-win group au kumaliza second ni sawa sawa. Tunaweza kuishia kucheza na top/hard team katika round ya 16. Bayern Munich watamaliza at the second spot, Dortmund au R. Madrid mmoja wao ataishia at the second spot na bado kuna timu kama Juve na Sevilla ambao mmoja wao pia atamaliza at the second spot.
Ila kutofungwa mechi ya leo ni muhimu kisaikolojia zaidi.
Naona unajaribu kufanya makisio mkuu angalia vizuri alafu sema nani hayupo.Coq kapata yellow nadhani game ijayo hatacheza
NOVEMBER
Naona tayari umeanza kubaki mwenyewe hapa
Ona sasa hata hambebeki...waiii!!!
Cavani gooooooaaaaaaaaaalllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll....
Unataka updates???
OK mmebaki wawili ,kuna jamaa mmoja huwa anaongea pumba sana siku hizi simuoni,amejipa ban ?Eneo la kiungo hatuna balaa sana kuna possibility ya kufanya replacement
Naona unajaribu kufanya makisio mkuu angalia vizuri alafu sema nani hayupo.
Asante mkuu hapa ndio nitapata updates usiache kunijuza.
Olivier Giroud's penalty was Arsenal's first shot of any kind against PSG tonight.Vipi waungwana half ya kwanza haijaisha na matokeo yakoje
Olivier Giroud's penalty was Arsenal's first shot of any kind against PSG tonight.
Kwani vepeeee jamani?
Naona 'wachawi' ndio wanatoa updates humu.
C'mon gooners...
Hawa watu bwana?Hivi shots zina maana gani kama zisipozaa magoli?Shots hazina msaada sana mpwa unakumbuka tulikua tunakua na shots milioni alafu tunapigwa mkawa mna cheka sana nashangaa siku hizi hatuna muda na hizo off or on target bado mnacheka.
Last game na Manure waulize walikua na shots ngapi na matokeo yalikuaje sasa ivi mpango ni kuto-drop 3 pts kwa namna yoyote
Hii picha haina kabisa uhusiano na maelezo yangu usiipe umuhimu wowote.
Haya bwana mimi nalala nakuachieni jamvi.Haaaa haaaa niko hapa jamvini na ndugu zangu katika soka Belo,Mentor na Herrera tunapeana habari nahisi huu usiku wa UCL hauwasu moja kwa moja ila wako kwa mkopo mahali fulani.
Hii ni November so far sijaona jipya ambalo Arsenal wamefanya msimu huu,karibia msimu wa 10 huu tunajua ni wakati gani Arsenal wataanza kuchemsha ,huko nyuma mlikuwa mna kisingizio cha majeruhi msimu huu sijui mtasingizia niniShots hazina msaada sana mpwa unakumbuka tulikua tunakua na shots milioni alafu tunapigwa mkawa mna cheka sana nashangaa siku hizi hatuna muda na hizo off or on target bado mnacheka.
Last game na Manure waulize walikua na shots ngapi na matokeo yalikuaje sasa ivi mpango ni kuto-drop 3 pts kwa namna yoyote
Hii picha haina kabisa uhusiano na maelezo yangu usiipe umuhimu wowote.
Hii ni November so far sijaona jipya ambalo Arsenal wamefanya msimu huu,karibia msimu wa 10 huu tunajua ni wakati gani Arsenal wataanza kuchemsha ,huko nyuma mlikuwa mna kisingizio cha majeruhi msimu huu sijui mtasingizia nini