Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

IMG_20161122_211903.jpg
 
Mwaka huu Arsenal wanaweza kumaliza on top of table (UCL) na bado wakakutana na kigongo katika last 16 e.g Bayern Munich or Real Madrid ambao wapo nafasi ya pili katika magroup yao.
 
Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu sintoweza kuangalia game ya leo naomba waungwana mtusaidie kutupatia updates kadri ya mambo yatakavyokua.
 
Leo nawaombea mshinde ili round inayofuata mkutane na Bayern Munich...
 
Leo nawaombea mshinde ili round inayofuata mkutane na Bayern Munich...

Asante sana mrithi wa Sheikh Yahya na mimi nikutakie umalize wa pili ukutane na Lei City najua una timu UCL(hata kama kwa mkopo)
 
Wenger bado anahangaika na koti lake
[HASHTAG]#Samethingneverchange[/HASHTAG]
 
Msimu huu Ku-win group au kumaliza second ni sawa sawa. Tunaweza kuishia kucheza na top/hard team katika round ya 16. Bayern Munich watamaliza at the second spot, Dortmund au R. Madrid mmoja wao ataishia at the second spot na bado kuna timu kama Juve na Sevilla ambao mmoja wao pia atamaliza at the second spot.
Ila kutofungwa mechi ya leo ni muhimu kisaikolojia zaidi.
 
Back
Top Bottom