rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Bora tumetoa draw maana mtaani kusingekalika leo hii na kelele za hawa mashetani wekundu. Upangaji wa timu na anao anao nyingi zinatukosesha points za maana sana. Hakukuwa na sababu za Giroud kuwepo bench leo hasa ukitilia maanani hii miezi ya karibuni amekuwa ni mfungaji mzuri katika baadhi ya mechi alizocheza.
Hii mechi tungeenda kutafuta ushindi sio kucheza cautious game kama tulivyocheza leo. Man Utd walikuwa wanatawala Midfield(nilivyoona) kuliko sisi.