Yeah meeen......!we're heading to the top tumesogea nafasi moja juu.
Mpwa nakutegemea kwenye upambaji wa sherehe ya leo kwa mapicha mbalimbali naona unayabania.
Rekebisha mstari wa mwisho.Jumatano ijayo tunacheza Emirates na Ludo Razjd kwenye CL na jumamosi itakayofuatia tupo nyumbani tena kuwakaribisha Middlesbrough.
Coquelin na Ramsey wapo fit
18 points kutoka mechi 18 si mbaya.
rubaman always unaacha kuangalia mpilaArsenal kidogo waniue kwa Pressure. Good points, poor defending. Kina nani walikuwa wanasema hii mechi itakuwa rahisi? Kwa mara ya 2 mfululizo tumetolewa kamasi lakini kwa kudra za kimpira tumeshinda.
No kidding, Niliacha kuangalia mechi baada ya Swansea kufunga la 2.
Nialike nike kuangalia mpilaMpwa vipi kipyenga bado?naisubiri j3 nikiwa na chupa ya heineken baridiiiiii sina presha kabisa uku natia nia kwa majogoo heee heee.
Nialike nike kuangalia mpila
Coquelin sawa ila ramsey hapanaJumatano ijayo tunacheza Emirates na Ludo Razjd kwenye CL na jumamosi itakayofuatia tupo nyumbani tena kuwakaribisha Middlesbrough.
Coquelin na Ramsey wapo fit
18 points kutoka mechi 18 si mbaya.
Hahahahaha itakua burudani balaaa maana daaah hahaha inatia uruma sanaKaribu sanaaaa mpwa j3 stress kando tunaangalia soka uku tukitia ubani kwenye chatezo kuitakia heri Liva.
Liverpool kesho nitaenda ibadani na hakika nitawaweka kwenye maombi yangu,niwatakie j3 njema mapema na msiniangushe.
HAHAAAA nilipoona tu ozillll nikaona bora niangalie la liga ni kachange chanelMpwa vipi kipyenga bado?naisubiri j3 nikiwa na chupa ya heineken baridiiiiii sina presha kabisa uku natia nia kwa majogoo heee heee.
kwanini mnalazimisha pressure zisizo za lazima, liver tutawaua na set pieces tu
Hongereni kwa point tatu
Usijali mkuu, ndio kipindi chenu cha kunawili hiki wala usiwe na presha, we subiri tu ifike Februaryila arsenal kukaa pale kileleni kwa sasa hivi ni matatizo, maana presha ya ku mantain position itakua kubwa, itatupelekea tusifanye vizur cha msing ni ku close gape tusiwe mbali na mtangulizi