Bahati mbaya tungekuwa tunaongoza. Ule moto wa Citey umepotea. Bahati yao kitanzi kilikatika, Guardiola ameshaanza kuona joto ya jiwe la EPL. Wameshindwa kufunga penati 2 lol. Tottenham wameponea chup chup. Liverpool
Pazi,
Malafyale nawatakia ushindi mnono jumatatu.